miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Basi mtani turudi kwenye mada..nitamtafuta huyo mwenzio kimya kimya........
haya mtani.. sasa kwa hiyo jamaa achukue wote tu ?
Basi mtani turudi kwenye mada..nitamtafuta huyo mwenzio kimya kimya........
Mapacha wa kufanana au hawafanani?? Kama wa kufanana, HAPANA. Sababu hapa, hupati kipya zaidi ya idadi ya namba kuongezeka ktk threesome, taste itakuwa ni ile ile kwa wote!
Kama hawafanani, na wewe imani yako inaruhusu na una uhakika utakidhi mahitaji yao, sioni tatizo!
Maamuzi ya huyo jamaa yanategemea na pafomansi yake maana asije kuwa mteja wa kudumu wa Viagra na supu ya pweza......haya mtani.. sasa kwa hiyo jamaa achukue wote tu ?
Kitu gani kinakufanya uamini kuwa hii ni hadithi na sio kweli.....???hadithi nyingine zafaa kusimulia jion wakati unaota moto
Maamuzi ya huyo jamaa yanategemea na pafomansi yake maana asije kuwa mteja wa kudumu wa Viagra na supu ya pweza......
Yote hayo yanategemea na ubora wa kitendea kazi chake.......wanasayansi wa mahabat waliojikita kwenye ngono wanasema three some sio jambo la mchezo...inataka moyo wa ujasiriha ha ha aha hahata mimi nimewaza ujue.. ila nikawaza mbali zaidi wafanye kama wale wanaotoa video za matusi
Yote hayo yanategemea na ubora wa kitendea kazi chake.......wanasayansi wa mahabat waliojikita kwenye ngono wanasema three some sio jambo la mchezo...inataka moyo wa ujasiri
Mtani umeshaharibu...kama chai umeshaitia ndimu.......kama disco kaingia mmasai.......mtani unajua mimi nilitaka kusema eti wale wadada wawe wanasagana alafu yeye kazi yake kuweka mimba na kufanya kidogo.... naona aibu
Mtani umeshaharibu...kama chai umeshaitia ndimu.......kama disco kaingia mmasai.......
Waoe wote wawili tu
Wanafanana sana, pia naweza kumudu mahitaji yao. Worry yangu ni jinsi ya kuishi nao. Je tutalala kitanda kimoja?? Je hawatakuwa na wivu km ikitokea ........mmoja ameridhishwa.
huyo mwingine usimuoe ila hakikisha unapiga tu tena kavu kavu wasikuzingue Alaaah!!