Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Dakika ya 89
Nataka kumwambia kitu cha maana, tulia basiNinao wivu lkn unalijua hilo..?
Yaliyomkuta mheshimiwa Membe ni yale yaliyo wakuta wakina Lowassa na Sumaye na bado yatawakuta wengi. Na haya siyo kwa CCM tu hata vyama vingine na mfano mzuri ni CDM na Dk. Slaa. Vyama vina katiba zake lakini hatuzifuati na kanuni zintelekezwa kwa kuangaliana usoni. Fikiria CCM wanatayarisha fomu moja tu ya mgombea, sisi wengine tunasherehekea na yeyote akiamsha kichwa anakatwa shingo. Mazoea hayo wenyewe wanaita utamaduni tunaupigia makofi hata kama unakosesha watu haki zao. Membe alikuwa huko akaona poa sasa safari hii kwawaza tofauti imekula kwao.
Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam,
Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Tarehe 28/10/2020 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea tangu awamu ya tano iingie madarakani miaka mitano iliyopita.
Ni siku ya kuchagua mtu anayefaa kuliongoza Taifa, Mtu mwenye uzoefu, Mzalendo na mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi yetu.
Puuzeni watu wanaosema nmejiondoa kwenye kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano. Twendeni mkanipigie kura mimi Membe Bernard Kamillius ambaye nmekidhi vigezo vyote. Nipigieni kura tuwe na Serikali ya Kazi na Bata.
Mimi nitafunga Kampeni yangu tarehe 27/10/2020 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Nawakaribisha wote.
Asanteni kwa kunisikiliza
Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...www.jamiiforums.com
Uchaguzi 2020 - Bernard Membe achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo
Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari. Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es salaam. Muda: Saa 8.00 Mchana. Waandishi wote mnakaribishwa. Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Habari...www.jamiiforums.com
Anadhani Watanzania
Membe angeonekana bora iwapo angegombea CCM, kule angebebwa na system ambayo kwa miaka mingi imekuwa ni organ ya kutegemewa na Chama kuelekea chaguzi mbalimbali.Ahahahahaha.....Membe tena,Da walishamtupa lando waungwana.
Kura zote za ACT na watanzania wengine ni kwa Benard Membe.
Sina uhakika na hili...sidhani kama nitakosea nikisema siyo kweli...ZITTO na CCM ndiyo walifanya mipango ya kumleta Membe ili agawe Kura za CHADEMA.
Hata angekuwa CCM huyu ndugu yetu hana mvuto wa kisiasa, ongea yake hata uenyekiti wa kijiji haumfaiMembe angeonekana bora iwapo angegombea CCM, kule angebebwa na system ambayo kwa miaka mingi imekuwa ni organ ya kutegemewa na Chama kuelekea chaguzi mbalimbali.
Humpati we hangaika na sisi mikinyeramumo huko Kuna wenyewe..😅Nataka kumwambia kitu cha maana, tulia basi
huko tulishatoka kwasasa ni haki,uhuru na maendeleo ya watu Lisu ni yeye
Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam,
Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Tarehe 28/10/2020 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea tangu awamu ya tano iingie madarakani miaka mitano iliyopita.
Ni siku ya kuchagua mtu anayefaa kuliongoza Taifa, Mtu mwenye uzoefu, Mzalendo na mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi yetu.
Puuzeni watu wanaosema nmejiondoa kwenye kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano. Twendeni mkanipigie kura mimi Membe Bernard Kamillius ambaye nmekidhi vigezo vyote. Nipigieni kura tuwe na Serikali ya Kazi na Bata.
Mimi nitafunga Kampeni yangu tarehe 27/10/2020 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Nawakaribisha wote.
Asanteni kwa kunisikiliza
Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...www.jamiiforums.com
Uchaguzi 2020 - Bernard Membe achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo
Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari. Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es salaam. Muda: Saa 8.00 Mchana. Waandishi wote mnakaribishwa. Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Habari...www.jamiiforums.com
Wenyewe kina nani? Na mie nataka.. hainaga mwenyewe hiyoHumpati we hangaika na sisi mikinyeramumo huko Kuna wenyewe..
Go for it utaleta mrejeshoWenyewe kina nani? Na mie nataka.. hainaga mwenyewe hiyo