Sisi masikini ndio tunapenda maonyesho, show off.Wanataka waone tv kubwa inch 60 hivi pia vitu vya thamani ndani
Umejuaje kuwa yeye anafanya wanavyotaka wao?Wanataka
Mawazo bwana. Kwao wanafikiri kila binadamu anamiliki TV set moja, nyumba moja, gari moja, simu moja etc hivyo akipiga picha na kitu fulani ndicho hicho hicho. BTW kuna watu wengine tena matajiri huwa hawaangalii TV.Kilichowashangaza hapo ni nini?
Mimi sio tajiri na ni rare sana kuangalia TV..Mawazo bwana. Kwao wanafikiri kila binadamu anamiliki TV set moja, nyumba moja, gari moja, simu moja etc hivyo akipiga picha na kitu fulani ndicho hicho hicho. BTW kuna watu wengine tena matajiri huwa hawaangalii TV.
Hiyo ya jikoni mbona..
Mimi mmoja wao.Mawazo bwana. Kwao wanafikiri kila binadamu anamiliki TV set moja, nyumba moja, gari moja, simu moja etc hivyo akipiga picha na kitu fulani ndicho hicho hicho. BTW kuna watu wengine tena matajiri huwa hawaangalii TV.
Muongezee wako wapi hao walioshangaa?Kilichowashangaza hapo ni nini?
Ana mwili mzuri Sana aisee!
Akili za kimaskiniNasikia utajiri wake ni wamasharti...hata magari yake yanayosambaza biashara zake ni moshi mtupu na kelele kama bata vuzi...utajiri wa aina hyo una faida gn?