Kumbe METL inachangia 3.5% ya pato la Taifa. Mwaka 1999 METL ilikuwa na thamani ya $30m, sasa ni zaidi ya $1.5b

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,830
Kampuni ya METL inachangia 3.5% ya pato lote la Taifa Tanzania huku ikiajiri 1.95% ya watu wote walioajiriwa rasmi kwenye sekta binafsi.

METL ilianzishwa na Gulam Dewji mwaka 1970 huku kwa miaka 16 thamani yake ikikua kwa zaidi ya mara 50 mafanikio ambayo sehemu kubwa yalikuwa chani ya mtoto wake, Mohammed Dewji ambae kwasasa ndie mwanahisa mkubwa zaidi kwenye kampuni hiyo.

METL inaendesha shughuli zake kwenye nchi nane na kuajiri watu 28,000
 
Kampuni ya METL inachangia 3.5% ya pato lote la Taifa Tanzania huku ikiajiri 1.95% ya watu wote walioajiriwa rasmi kwenye sekta binafsi.

METL ilianzishwa na Gulam Dewji mwaka 1970 huku kwa miaka 16 thamani yake ikikua kwa zaidi ya mara 50 mafanikio ambayo sehemu kubwa yalikuwa chani ya mtoto wake, Mohammed Dewji ambae kwasasa ndie mwanahisa mkubwa zaidi kwenye kampuni hiyo.

METL inaendesha shughuli zake kwenye nchi nane na kuajiri watu 28,000
Bila shaka hesabu ni ya uongo

Kama watu walioajiriwa ni 28,000 (kumbuka ni nchi 8 mimi nafanya assumption ni Tanzania tu

Idadi ya watu Tanzania ipo 60,000,000 (na assume walioajiriwa ni 20M tu waliobaki wote ni watoto )

(28,000 ÷ 20,000,000) × 100
.= 0.0014 × 100

= 0.14%
 
Mbona kuna masikini humu jf huwa wanasema hizo ni data za kubumba na wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa MO ni tapeli na mganga njaa mpenda sifa?
Mkuu, umeshasema kuwa Kuna "MASIKINI" kwishaaaa. Mjadala umeisha.
.
Ushawahi kukuta sehemu MASIKINI anasema huyu tajiri pesa zake kazipata kwa njia za haki? Obvious Not.

Kama Forbes, Business Insider, Blomberg, Financial Times na The Wall Street Journal wanatoa factual data kwa kufanya intensive and international-based business surveys, leo hii mwana JF anakuja anapinga bila hata critical evidences, inakuwa ni vichekesho .
 
Bila shaka hesabu ni ya uongo

Kama watu walioajiriwa ni 28,000 (kumbuka ni nchi 8 mimi nafanya assumption ni Tanzania tu

Idadi ya watu Tanzania ipo 60,000,000 (na assume walioajiriwa ni 20M tu waliobaki wote ni watoto )

(28,000 ÷ 20,000,000) × 100
.= 0.0014 × 100

= 0.14%
Tumia kichwa kufikiria sio watanzania wote 60M wako kwenye sector ya ajira.
 
Bila shaka hesabu ni ya uongo

Kama watu walioajiriwa ni 28,000 (kumbuka ni nchi 8 mimi nafanya assumption ni Tanzania tu

Idadi ya watu Tanzania ipo 60,000,000 (na assume walioajiriwa ni 20M tu waliobaki wote ni watoto )

(28,000 ÷ 20,000,000) × 100
.= 0.0014 × 100

= 0.14%

Hao 20M ulio assume wameajiriwa sekta binafsi??
Ama umekimbilia kushupaza shingo kufanya hesabu zako za kimagumashi kwa kuwa umesikia kaajiri watu 28k?
 
Hao 20M ulio assume wameajiriwa sekta binafsi??
Ama umekimbilia kushupaza shingo kufanya hesabu zako za kimagumashi kwa kuwa umesikia kaajiri watu 28k?
Ongeza ni waajiriwa rasmi..
 
Back
Top Bottom