Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,623
- Thread starter
- #61
Yes walikuwa wana post onlineKwani wa Ukawa pale Mlimani City walitangaza.?
Sent using Jamii Forums mobile app
P
Yes walikuwa wana post onlineKwani wa Ukawa pale Mlimani City walitangaza.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazeeka vibaya sana wewe mzee siku hizi. Uhuru wa Tume hautokani na imeteuliwa na Mungu au Shetani bali utendaji wa tume hiyo kisheria na kimantiki kwa Wadau wote unawaridhisha ? Je mchakato wa kuteuliwa huyo mtendaji umepitia vigezo gani shirikishi ?Mkuu Mohammed Khatibu, Mwenyekiti wa NEC hateuliwi na Mwenyekiti wa CCM, anateuliwa na Rais wa JMT.
Tanzania ina mihimili mitatu huru na vyombo huru vifuatavyo, huru kwa maana ya independent kutokana na sheria inavyoviunda
Serikali
Bunge
Mahakama
Tume ya Uchaguzi
Tume ya Haki za Binaadam
Tume ya Tabia za Viongozi
Tume ya Kuzuia Rushwa
Tume ya Madawa ya Kulevya
Ofisi ya CAG
Ofisi ya DPP
Etc
Wakuu wa vyombo vyote hivyo wanateuliwa na rais wa JMT, Spika wa Bunge ndie Mkuu wa Mhimili lakini mtendaji Mkuu wa Bunge ni Katibu wa Bunge.
Kama Bunge ni huru, mahakama ni huru na NEC pia ni huru, ila sio Shirikishi.
P
Mkuu, bila shaka utakua umemuuliza kuhusu upande wa Z'bar pia (uchaguzi wa awali ulikua huru, wazi na haki? Uhalali wa kufuta na kurudia uchaguzi, nk). Japo naamini jibu lake litakua NEC haihusiki Z'bar bali ZEC. I subscribe na sitakosa kuangalia.
Kikatiba tuna mihimili ifuatayo:Ukweli unajulilana
UKAWA hawakuwa na mgombea wa maana
Hakuna cha kuchaka chua matokeo wala nini
Ni story za wakosaji.
Mnakuwa na Unafiki ktk chama mtegemee kushinda kweli!!?
Watu hawataki kukubari kuwa
Kitendo cha kumchukua lowassa kili wakwaza wengi,
Wapo walio kuwa na mbwembwe kwa lowassa lakini hawakumpa kura
Kwakuwa uchaguzi ule ulijawa na Mbwembwe na ili uonekane wa sasa lazima uwe mpinzani,
Bila kujali hoja na malengo ya mgombea.
Tunatambua fika uchaguzi ulikuwa huru
Kila mtu alikuwa huru kuamua lipi aongee na yupi amchague,
Kwa walio fuatilia uchaguzi wa Uganda lazima wataafiki Tanzania uchaguzi wake ulikuwa huru.
Uteuzi wa nafasi mbalimbali ni kwa mujibu wa katiba zinafanywa na rais wa JMT. Hata inapotokea rais wa JMT ndiye huyo huyo Mwenyekiti wa CCM, uteuzi anateua kwa mujibu wa katiba ya JMT na sio katiba ya CCM. Kwa vile the dividing line between rais Magufuli as rais wa JMT and Magufuli as Mwenyekiti wa CCM is very thin, hivyo you can think whatever you think if it makes you happy, be Happy!.
P
Baada ya Mungu, anayefuatia kwa madaraka makubwa ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - maneno ya Dr LwaitamaUteuzi wa nafasi mbalimbali ni kwa mujibu wa katiba zinafanywa na rais wa JMT. Hata inapotokea rais wa JMT ndiye huyo huyo Mwenyekiti wa CCM, uteuzi anateua kwa mujibu wa katiba ya JMT na sio katiba ya CCM. Kwa vile the dividing line between rais Magufuli as rais wa JMT and Magufuli as Mwenyekiti wa CCM is very thin, hivyo you can think whatever you think if it makes you happy, be Happy!.
P
Uliona popote Jecha kashikiwa bunduki?.Uchaguzi wa Zanzibar ulifutwa na dola, tume ya uchaguzi ilovamiwa na dola na kumlazimisha Jecha kufuta kuchaguzi kwa bunduki
Serikali ya Jamhuri ya Muungano chini ya chombo ya ulinzi, chini ya Rais mtaafu Jakaya Kikwete, kuvamia tume kwa nguvu na kupora mamlaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema kukusanya matokeo sio kosa, kosa ni kuyatangaza.
P
Amesema kukusanya matokeo sio kosa, kosa ni kuyatangaza.
P
acha ulaghai utajidhalilisha bure walichokuwa wanafanya wale wa mlimani city si ndiyo hicho hicho walokuwa wakifanya kina January Makamba
hebu wachani kutuona sisi ni wajinga hili swali ulivyomuuliza alijibu kuwa ni kosa kutangaza matokeo na kuyaweka kwa computer tayari ni kuyatangaza sasa hili mbona pia CCM walilifanya bila kuchukuliwa hatua acheni porojo za kijinga we na tume yako feki
Uliona popote Jecha kashikiwa bunduki?.
Niliwaeleza uchaguzi mwingine ni mwaka huu 2020, hivyo acheni kulia lia, jipangeni upya mtupe tena jarife, labda this time mtaambulia angalau chochote kitu.
P
Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, asante sana kulizungumzia hili la Tume huru ya uchaguzi.NCHI YETU HATUJAWAHI KUFANYA UCHAGUZI BILA TUME HURU YA UCHAGUZI.
Wanabodi,
Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.
Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.
Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.
Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.
Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.
Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.
Seek the truth, and the truth will set you free.
Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,
Paskali.
Acha visingizio vya kitoto. Mbona inaplay bila shida. Tume ipo huru,mawakala wanasaini fomu za matokeo na zinabandikwa ngazi zote alafu mnapotosha umma eti mnaibiawa!Hii clip haichezi kwenye android, seems clip file format doesn't exist in my Android.
Acha visingizio vya kitoto. Mbona inaplay bila shida. Tume ipo huru,mawakala wanasaini fomu za matokeo na zinabandikwa ngazi zote alafu mnapotosha umma eti mnaibiawa!
Mh...Hiyo ni ngumu kuamini,fomu za matokeo zinabandikwa kila kituo kwa uwazi,na kila wakala anasaini kwa hiari.Matokeo yanabandikwa nje na masanduku yanasindizwa na mawakala kuanzia ngazi ya kituo mpaka mwisho. Hizo habari za uongo za polisi kujaza masanduku nani ataziamini?Kwangu haichezi, simaanishi kwa wengine haichezi. Kila kituo kinabandika ya kwake. Je jumla juu inakuwa sawa? Hilo moja, nimeona kwa macho yangu mawakala wakilazimishwa na polisi tena kwa vipigo, kusaini fomu za matokeo zisizo halali. Hilo la pili, je yale mabox yanatolewa vituoni na kwenda kujazwa kura za ccm, kwa uratibu wa jeshi la polisi inakuwaje hapo? Sina chembe ya shaka na nilichokuambia.
Mh...Hiyo ni ngumu kuamini,fomu za matokeo zinabandikwa kila kituo kwa uwazi,na kila wakala anasaini kwa hiari.Matokeo yanabandikwa nje na masanduku yanasindizwa na mawakala kuanzia ngazi ya kituo mpaka mwisho. Hizo habari za uongo za polisi kujaza masanduku nani ataziamini?
Acha hasira,kama kuna mawakala wanalazimishwa kusaini fomu na maboksi yanajazwa kura kwa nguvu na polisi,mbona hatujasikia mkienda mahakamani?Sikulazimishi ww au nyinyi kuziamini, maana kwa kiwango kikubwa zinakufedhehesha. Kimsingi ukweli hauhitaji nguvu kubwa kuutetea, maana ukweli unajisimamia wenyewe. Haya mambo ninayokuambia yamefanyika mbele ya macho ya wapiga kura, hiyo ndio sababu hasa ya watu kulidharau box la kura, na kutokujitokeza kujiandikisha au kupiga kura. Sishangai ww kuukataa ukweli, maana ukweli kwa namna yoyote ile unaumiza. Sio mara moja au mbili, nimekuwa nikikuambia kuwa ww ni mtetezi uovu sababu ya mambo ya mahaba niue.
Wanabodi,
Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.
Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.
Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.
Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.
Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.
Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.
Seek the truth, and the truth will set you free.
Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,
Paskali.
Acha hasira,kama kuna mawakala wanalazimishwa kusaini fomu na maboksi yanajazwa kura kwa nguvu na polisi,mbona hatujasikia mkienda mahakamani?