TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki!

Yaani polisi wafanye uovu kisha ukawashitaki mahakamani, unajua unachoongea? Wanaowapa amri hao polisi kunajisi uchaguzi, ndio wanaoipangia mahakama jinsi ya kuendesha kesi.
Kesi ni ushahidi, kama unaushadi usio na mashaka unashinda. Mbona Wassira pamoja na kuwa Kigogo wa Ccm wale wapambe wake walishindwa kesi na Ester Bulaya? Mahakama ni mhimili huru.Haupendelei mtu wala chama.
 
Kesi ni ushahidi, kama unaushadi usio na mashaka unashinda. Mbona Wassira pamoja na kuwa Kigogo wa Ccm wale wapambe wake walishindwa kesi na Ester Bulaya? Mahakama ni mhimili huru.Haupendelei mtu wala chama.

Wasira wakati anashindwa kesi alikuwa na cheo gani serikalini? Mahakama zetu zimeamua kutumikia siasa chafu, hivyo si vibaya tukizips mrejesho wa wao kutumikia siasa chafu.
 
Kwahiyo Jaji Warioba ni mwongo alivoeleza kuwa tume siyo huru?
Everyone has the right to his/her own opinion na sio busara kumuita mtu muongo kwa kutoa mawazo yake hata kama hukubaliani naye.

NEC ni Tume huru ya uchaguzi ila sio shirikishi!.
P
 


Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.

Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.

Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.

Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.

Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.

Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.

Seek the truth, and the truth will set you free.

Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,

Paskali.


Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert, ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi, inashiriki katika maonyesho ya kilimo ya Nane Nane katika uwanja wa Mwl. J.K Nyerere mjini Morogoro.

Ushiriki huo wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho, ni fursa nzuri kwa wale wote wenye madukuduku kuhusu Tume kama ni tume huru, na uchaguzi, kama ulikuwa huru na wa haki.

Kwa vile sii wote wataweza kutembelea banda hilo huko Morogoro, kwa faida ya wengi, nimetembelea banda hilo, na nitarusha vipindi maalum vya banda hilo ndani ya Nane Nane na PPR.

Leo Waziri Mkuu ametembelea banda la Tume, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, Makamisha Mary Longway na Athina Omari, pamoja na msimamizi mbobezi, Spora Liana, watazungumzia uchaguzi uliopita.

Usikose kuangalia mfululizo wa vipindi vya Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane, kipindi cha kwanza kinaanza leo saa 1:00-1:30 Star TV.

Kesho ni Channel Ten, keshokutwa ITV kisha TBC.

Karibuni msikie na kushuhudia jinsi ambavyo huwezi kudanganya matokeo ya uchaguzi wa rais, hivyo msidanganywe na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu bao la mkono kwenye matokeo ya urais!, hakuna kitu kama hicho!.

Paskali

UPDATE.
Kwa ambao hawakukiona kipindi hiki kiliporushwa kwa mara ya kwanza, leo na kesho, kuna fursa ya kuangalia marudio.

Leo Ijumaa, 05/08/2016, kipindi kitarudiwa Channel Ten, saa 2:30 usiku huu.
Kesho Jumamosi, 06/08/2016, kipindi kitarudiwa ITV saa 12:30 jioni!.

Wewe kama mwana jf, be the first to know!.

Paskali

Mleta uzi ina maana unasubiri mpaka tume itoe ufafanuzi ndio ujue kuwa sio huru? Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anajua tume hii sio huru, haya yanayotokea ni kusaidia wale wazito wa kuamini kuwa tume sio huru.
Mkuu tindo, kuona ni kuamini, unaweza kuangalia hiyo program na kuona jinsi uchaguzi unavyoendeshwa, na NEC japo sio Shirikishi lakini ni Tume Huru!. Kitu ambacho ni ukweli wa wazi, hakuna uchaguzi wowote very smooth, hata wa Marekani, dosari ndogo ndogo ni kitu cha kawaida, lakini dosari hizo, sio za kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi. Tuambizane tuu ukweli, Tanzania kuna upinzani wowote wa maana wa kushindanisha na CCM?. Kwa track record ya JPM, kuna mtu wa kushindana nae akamshinda?.

P.
 


Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.

Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.

Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.

Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.

Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.

Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.

Seek the truth, and the truth will set you free.

Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,

Paskali.

sasa ulisifia nini Pascal? CCM hawawezi kuachia nchi kwa uchaguzi..........nilijua na nimetoa harsh comment kwako maana kwa level yako unajua fika kuwa ccm haiwezi kuleta tume huru maana wanajua ikiwepo wanaondoka....
Tatizo la Tume yetu ya uchaguzi ni tume huru ila ilikuwa sio shirikishi!, kwenye muswada huu bado sijauona huo ushirikishi, hivyo huu ni mvinyo ule ule wa zamani ila kwenye chopa mpya!.

P
 
Back
Top Bottom