TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki!

Pascal kwa hiyo unamleta huyo Ramadhani Kailima ili ajibu hoja??kwa nini sasa na sio mara baada ya uchaguzi??unataka kufanya hivyo ili iweje??unataka kuwaunga mkono kujisafisha kwao??kwa ushauri tu waachie dhambi yao wenyewe vinginevyo na wewe utaichuma hiyo dhambi,wamekaa kipindi chote wanaona mzimu unawaandama sasa wameona waanzishe kampeni ya kujisafisha hawatasafishika kamwe na wewe uache kujikomba kwao kwani sidhani kama JF imekutuma ufanye hivyo.
 
Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.

Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.

Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.

Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.

Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.

Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.

Seek the truth, and the truth will set you free.

Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,

Paskali.
Post ya Jana ulisema huyo unayemuhoji alikupigia simu ukiwa nane nane Lindi.......Leo unasema ulimtafuta mwenyewe
 
Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo.

Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala yake, independent tallying ya UKAWA na ile Kituo cha Haki za Binaadamu, vilivamiwa, kuporwa computers zao na wahusika kusweka ndani!, zoezi hili lilitafsiriwa kuwa, kama uchaguzi ulikuwa transparent, with nothing to hide, kwanini Tume ilizifamia zile independent tallying centers, ilikuwa inaogopa nini?!.

Kufuati baadhi ya hoja za jf, kuwa ni hoja za msingi kabisa, nilimtafuta Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima, anazijibu hizo hoja na nyingine nyingi, katika kipindi maalum cha Ushiriki wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane.

Kipindi hicho kitarushwa leo Tarehe 8/8/2016Saa 12:25 ITV na Saa 3:45 Star TV.

Kesho kitarushwa Channel Ten Saa 2:30 usiku na TBC1 saa 4:00 usiku.

Wewe kama mwana jf, una advantage ya be the first to know, hivyo natoa wito, hata kama uliamini Tume haikutenda haki, na uchaguzi uliopita haukuwa huru na wa haki, lakini information is power!, get the info, ili uujue ukweli wa mambo!, kiukweli watu walidanganywa sana!, na ukiishadanganywa na mtu unaemuamini, akitokea mwingine usiemuamini akakueleza ukweli na kukujulisha, kile ulichoaminishwa mwanzo ni uwongo, umedanganywa, wewe unakuwa huru kuendelea kumuamini yule unayemuamini, kuwa uwongo wake ndio ukweli, na ukweli wa usiomuamini ndio uwongo, wewe utakuwa ni ... bila kujijua!.

Seek the truth, and the truth will set you free.

Karibuni kuangalia.
Natanguliza shukrani,

Paskali.
Ni bora mara kumi elfu ukampa mtu mwengine akatupia hii promo yako. Hivi wewe misingi ya journalism bado wa ifuata! A PR company! Umepewa pesa kuandaa kipindi, eti nijihangaishe kutizama! C mlituzuia nyie ili tufanye kazi! Hebu niache nipambane na maisha, porojo zako peleka mwingine.
 
Paskali nimeona mahojiano hayo.Ksilima hakujibu swali la kwa nini CDM waliizuiwa kujumuisha matokeo,anajidai ati walikuwa wanatangaza matokeo UONGO MTUPU
Mbona CCM hawakuzuiwa
Kwenye majumuisho kitaifa ndipo wizi hufanyika na hakuna mawakala hilo hukumuuliza
Usiuze utu Wako kwa pesa ya vipindi viwili
 
Kailima anasema uongo kuwa hakuna aliyelalamika juu ya majumuisho
Uhuni waliofanyiwa Kafulila na Wenje anauitaje
Tulimuona Kailima siku walipokwenda kwa Magu jinsi alivyokuwa anatetemeka anaweza kusema lolote kinyume na Magu
A poor dirty joke of an interview
 
tanzania haijawahi wala haiwezi na haitatokea hata siku moja kuwa na uchaguzi huru na haki .hao wameteuliwa na chama tawala wasitusumbue .na wala hawawezi na kuwa na ripoti ya uchaguzi wanaandika matwaka yaobtu sio ripoti yenye uhalisio .na ukimuangalia huyo jamaa hayuko siriasi na malala miki ya watu wengine kwa sababu mapeni yanaingia kwenye mfuko wake
 
Ni bora mara kumi elfu ukampa mtu mwengine akatupia hii promo yako. Hivi wewe misingi ya journalism bado wa ifuata! A PR company! Umepewa pesa kuandaa kipindi, eti nijihangaishe kutizama! C mlituzuia nyie ili tufanye kazi! Hebu niache nipambane na maisha, porojo zako peleka mwingine.
hana kitu huyo
he's just another mickey mouse journalist
 
Mimi nilifuatilia uchaguzi
hasa wa Rais na ubunge Dar
ilikuwa aibu kubwa

Wagombea wa CCM na wafanyakazi wa tume walikuwa kama team moja

Dar CCM hawakushinda hata jimbo moja la ubunge
Kigamboni walishindwa wakaomba 'zihesabiwe upya'
'wakashinda'

Hivyo hivyo..kila jimbo waliposhindwa wakaleta huo mchezo wa kuhesabu upya kumbe wanajua mbinu yao....
 
Ukweli unajulilana
UKAWA hawakuwa na mgombea wa maana
Hakuna cha kuchaka chua matokeo wala nini
Ni story za wakosaji.


Mnakuwa na Unafiki ktk chama mtegemee kushinda kweli!!?

Watu hawataki kukubari kuwa
Kitendo cha kumchukua lowassa kili wakwaza wengi,
Wapo walio kuwa na mbwembwe kwa lowassa lakini hawakumpa kura
Kwakuwa uchaguzi ule ulijawa na Mbwembwe na ili uonekane wa sasa lazima uwe mpinzani,
Bila kujali hoja na malengo ya mgombea.


Tunatambua fika uchaguzi ulikuwa huru
Kila mtu alikuwa huru kuamua lipi aongee na yupi amchague,
Kwa walio fuatilia uchaguzi wa Uganda lazima wataafiki Tanzania uchaguzi wake ulikuwa huru.
Kwani kama ulikuwa huru nini kilifanya mkamate wapokeaji matokeo binafsi ya wagombea maana yake mlikiwa mnaficha uchakachuaji 2. Kuweka mfano wa dikteta na NCHI ya demokrasia una maana nasi tumeingia kwenye kundi la NCHI zilizopindua serikali zao madarakani? Huwezi kuweka mfano kati ya mjinga na mwelevu. Uchakachuaji ulifanyika NEC . mwisho Lowassa alipata kura mil 6 Nani mwingine aliemzidi tangu chaguzi za vyama vingi kama hakuna Bado Lowassa alitisha kuitoa jasho ccm mpaka kutafuta bao la mkono .
 
I used to worship this guy lakini kaniangusha sang kwa kweli
Only God ndio waku worshipiwa na sii binadamu au kiumbe kingine chochote!.

Tuna tatizo sana na waabudu watu, kiasi kwamba hao waabudiwa kile wanachosema, waabudi wanaona kama ni maangizo ya Mungu, kumbe ni maagizo ya miungu watu tuu!. Sasa inapotokea waabudiwa hawa wakawaeleza waabudu kuwa wameshinda uchaguzi ila wameibiwa kura, waabudu huamini moja kwa moja kama wanavyo iamini Biblia au Msahafu!, hivyo anapitokea mtu mwingine kusema kuwa muabudiwa hakuibiwa kura bali alishindwa!, mtu huyo ataonekana kama amekufuru mungu na sii Mungu!.

Paskali
 
Kama katiba inaruhusu mikutano na maandamano na inavunjwa
sembuse uchaguzi ?

Hapa JF tu threads zinafutwa za kuwakosoa.....

Tuko kwenye 'police state' kiukweli...propaganda za kutuaminisha tupo huru na tunaishi kwa sheria zitawachota wachache
wenye upeo mdogo
Mkuu The Boss, ni kweli katiba na sheria zinaruhusu mikutano na maandamano, ila yule mwenye nchi, ambaye nchi hii ambaye ni sisi wenyewe tumekabidhi kwa kura zetu, hivyo kuwa ni mali yake, kasema hataki maandamano na mikutano!, kauli ya rais ndio sheria kuu kuliko katiba, hivyo sote tunatakiwa kuitii amri hiyo, hata kama ni amri batili lakini imetolewa na rais halali!.

Paskali.
 
as a matter of fact huyuhuyu Pascal Mayalla alikuwa anatuhumiwa kuinfluence uongozi wa JF kufuta threads ambazo zilikuwa critical kwa mabosi wake

he has no moral authority kutuambia kitu humu.
Hii ni tuhuma nzito, very serious accusation na sensitive!, huyuhuyu Pascal Mayalla alikuwa anatuhumiwa na nani, kuinfluence uongozi wa JF kufuta threads ambazo zilikuwa critical kwa mabosi wake wepi?!.

Pascal mimi, sina bosi, mimi ndiye my own boss, situmwi na mtu awaye yote, hivyo hao mabosi wangu ni wepi hao?!.

JF is where we dare talk openly, please be open or come clean!.

Paskali.
 
Je uliwauliza kwanini walirejesha chenji Ikulu kiasi cha Tshs. bilioni 12,wakati waliwahi kudai wameshindwa kutoa elimu kwa wapiga kura kutokana na ukosefu wa fedha...?
Mkuu Desca, hili sikuwauliza, ila nitaliuliza next program.

Paskali
 
Kama katiba inaruhusu mikutano na maandamano na inavunjwa
sembuse uchaguzi ?

Hapa JF tu threads zinafutwa za kuwakosoa.....

Tuko kwenye 'police state' kiukweli...propaganda za kutuaminisha tupo huru na tunaishi kwa sheria zitawachota wachache
wenye upeo mdogo
Umeandika kaujumbe fulani kazito sana
 
Back
Top Bottom