TV ipi bora kwa bajeti ya Tsh 1.5 m

TV ipi bora kwa bajeti ya Tsh 1.5 m

Chief inafaa kwa budget ya 250k? inapatikana pale kenya Avechi japo ni kampuni jipya.
Screenshot_2022-07-18-04-51-00-858_com.android.chrome.jpg
 
Habari zenu.

Naombeni msaada wa kuchagua TV Bora (mind Sina uzoefu na TV so nahitaji na uelewa pia) budget ni 1.5mil isizidi hapo.

Asanteni.
Kwenye ununuaji wa tv usiangalie sana brand.... brand ndo inafanya bei ya tv iwe kubwa unaweza kuta tv za brand mbili tofauti lakini zina uwezo sawa sema tuh kisa moja ni LG ndo unakuta inabei kuliko ile nyengine

Ushauri wangu ni wewe kama macho yako yameridhika na ile tv yani picha inaonesha clear na sauti yake clear basi haina shida ila iwe ina warranty ya miaka 2 atleast na port za HDMI pia kwa hio budget tafuta tv za screen za OLED utanishukuru
 
Kwenye ununuaji wa tv usiangalie sana brand.... brand ndo inafanya bei ya tv iwe kubwa unaweza kuta tv za brand mbili tofauti lakini zina uwezo sawa sema tuh kisa moja ni LG ndo unakuta inabei kuliko ile nyengine

Ushauri wangu ni wewe kama macho yako yameridhika na ile tv yani picha inaonesha clear na sauti yake clear basi haina shida ila iwe ina warranty ya miaka 2 atleast na port za HDMI pia kwa hio budget tafuta tv za screen za OLED utanishukuru
Tv gani ya Oled kwa 1.5m?
 
Kwenye ununuaji wa tv usiangalie sana brand.... brand ndo inafanya bei ya tv iwe kubwa unaweza kuta tv za brand mbili tofauti lakini zina uwezo sawa sema tuh kisa moja ni LG ndo unakuta inabei kuliko ile nyengine

Ushauri wangu ni wewe kama macho yako yameridhika na ile tv yani picha inaonesha clear na sauti yake clear basi haina shida ila iwe ina warranty ya miaka 2 atleast na port za HDMI pia kwa hio budget tafuta tv za screen za OLED utanishukuru
Oled kwa 1.5? Wapi uko?
 
vipi kuhusu hisense uled tv (U7QF) na nano cell kwenye ubora
 
Habari zenu.

Naombeni msaada wa kuchagua TV Bora (mind Sina uzoefu na TV so nahitaji na uelewa pia) budget ni 1.5mil isizidi hapo.

Asanteni.
TafUTA Grundig hutojuta, mtambo wa Mjerumani.

 
Back
Top Bottom