yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,901
- 4,129
Samahani mkuu sijakuelewa. Kwamba smart ni vimeo au ?Najua lakini smart sio.bora kidog ungesema tv za mchina
Samahani mkuu sijakuelewa. Kwamba smart ni vimeo au ?Najua lakini smart sio.bora kidog ungesema tv za mchina
Na mi nimewaza hii pia...Asante Kwa ushauriTafuta nanocell ya lg inches 50 unapata kwa hiyo pesa..ni mkasi kweli huwez juta huku ukienjoy magic remote
View attachment 2292836
Hebu nyosha maelezo yako hapaNajua lakini smart sio.bora kidog ungesema tv za mchina
Nimetafuta nanocell inchi 50 maduka yote zipo zitazotoka egypt tu. nikaamua kuacha. Au kuchukue sony 49x8000H ya malyasiaTafuta nanocell ya lg inches 50 unapata kwa hiyo pesa..ni mkasi kweli huwez juta huku ukienjoy magic remote
View attachment 2292836
TV nzuri sana South Africa zinauza sana na wachina wanazipenda sana maana quality ya picha yake wanazikubali pamoja na TCL kuliko ata HisenseSkyworth mm ninayo ila watoto wamevunja kioo haikuwahi kunipa shida yoyote kipindi Cha uhai wake
Cheki hawa jamaa wapo mikocheniNimetafuta nanocell inchi 50 maduka yote zipo zitazotoka egypt tu. nikaamua kuacha. Au kuchukue sony 49x8000H ya malyasia
Nimesema mm binafsi niliion kwa huyo jamaaKwaio tz nzima alikuwa nayo yy tu ?
Zinapatikana hizi bongo?Chukua Mi Smart Tv
PoaCheki hawa jamaa wapo mikocheni
bongo naweza kupata wapi? nielekeze jinsi ya kuagiza maana hata mimi xiaomi nazikibali maana hata simu ninayotumia ni wao (mi 9 se)Mimi ngosha apo bilashaka ningeenda kabisa kudaka xiaomi tv ,series za sasa tv Kali sana sema wachina bado Kuna watu hawawaamini
Mcheki shamwaa Africa atakuleteabongo naweza kupata wapi? nielekeze jinsi ya kuagiza maana hata mimi xiaomi nazikibali maana hata simu ninayotumia ni wao (mi 9 se)
Ndio mm sijawai zielewaSamahani mkuu sijakuelewa. Kwamba smart ni vimeo au ?
Mm namuelewaga mchina kwenye tv na mphilipinoHebu nyosha maelezo yako hapa