The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Hiyo plasma mkuu, tafuta Led au Smart
mara nyingi LED ni nzuri zaidi, hasa kwa matumizi ya nyumbani, LCD pia ina faida zake.so unamaanisha watu kwa ulimwengu wa sasa ni vizuri watumie led na si lcd?
Hiyo tv hua ina seting fulani ya kupunguza kula umeme mkubwa.na ukishaiset utaona hata mwanga wa tv unapungua kidogo,ilinitokea hiyo ila wife ni mtundu mtundu ndo aliweza kuirekebisha kwa kuifanyia setings fulani hivi.fanya hiyo seting utaona hali ya umeme kwenda na matumizi makubwa itabadilikaWakuu Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Nyumbani nimenunua flat TV ya 50" tangu ninunue matumizi ya umeme yameongezeka maradufu yaani unit 5-6 kila siku zimeongezeka kwenye matumizi. Tatizo nini Wakuu wenye uelewa msaada tafadhali.
NB:wenye Povu hapa sio Mahala pake
mkuu kuna hizi tv wanaita STAR X, ziko vipi nazo kiubora?mara nyingi LED ni nzuri zaidi, hasa kwa matumizi ya nyumbani, LCD pia ina faida zake.
mkuu mimi huwa kawaida yangu sishauri watu kununua vitu ambavyo hata kampuni husika haijulikani inatoka wapi, wamiliki ni nani, viwanda vipo wapi, makao makuu yapo wapi etc.mkuu kuna hizi tv wanaita STAR X, ziko vipi nazo kiubora?
asantemkuu mimi huwa kawaida yangu sishauri watu kununua vitu ambavyo hata kampuni husika haijulikani inatoka wapi, wamiliki ni nani, viwanda vipo wapi, makao makuu yapo wapi etc.
tv nunua brand nzuri LG, Samsung etc na kama budget hairuhusu tafuta mchina mstaarabu mfano TCL utapata warranty, ikiharibika utatengenezewa, na pia utapata support nzuri. TV kama TCL unapata smart tv hadi 450,000 kwa 32inch.
hapana aisee sijawahi wasikia hao, ila singsung nawajua.Mkuu vipi mchina wa sansan anaweza saidia naye?
mkuu hakuna mahusiano ya brand ya tv na ulaji umeme, mpaka ujue ni model fulani ndio utaweza jua ulaji wake wa umeme.Chief vipi ulaji wa hisense TV?
Hatari sana mkuuDah kama nilivyofikiria ni kitu cha plasma, hazitengenezwi tena hizo mkuu na wamekukamata. Ukiiwasha matumizi ya kawaida inakula 330 watts hivyo haifiki hata masaa 3 unit moja imekata.
Ushauri wangu irudishe ikiwezekana ongeza hela tafuta tv ya led,
Pia hizo tv ni bei rahisi sana, zinakuwa hadi laki 6 hadi 8 kwa hio 50 inch, na kioo chake ni 720p ambacho sio kizuri kwa ukubwa huo,
Kwa kumsaidia mtumie number za wife Wako tafadhariHiyo tv hua ina seting fulani ya kupunguza kula umeme mkubwa.na ukishaiset utaona hata mwanga wa tv unapungua kidogo,ilinitokea hiyo ila wife ni mtundu mtundu ndo aliweza kuirekebisha kwa kuifanyia setings fulani hivi.fanya hiyo seting utaona hali ya umeme kwenda na matumizi makubwa itabadilika
Hata maza wako hua anaijua hii seting..au toka umetoka kijijini uliipoteza namba ya mama?Kwa kumsaidia mtumie number za wife Wako tafadhari
Hata maza wako hua anaijua hii seting..au toka umetoka kijijini uliipoteza namba ya mama?
I seeTatizo ni ww,unatumia mda mwingi kuangalia hiyo tv maana ni mpya.Pia Unaonekana unaishi ktk nyumba za kupanga so ushindani wa matumizi ya umeme ni wa Kasi zaidi
yaani hapa JF kuna watu wamesetiwa kama robot wako tayari kwa ajili ya kutoa majibu negative kwa thread yoyote ile hata iweje, so members kama hawa usiwachukulie serious sana, na umefanya vyema kumkataa.Kumjibu mjinga Mara zote kunahitaji busara sana Ngoja Nitumie busara
utajuaje kama hii plasma au led? wanakuwa wameandika sehemu hii itatusaidia wengine tukienda kununua tusupigwa kama mdau wetu hapaDah kama nilivyofikiria ni kitu cha plasma, hazitengenezwi tena hizo mkuu na wamekukamata. Ukiiwasha matumizi ya kawaida inakula 330 watts hivyo haifiki hata masaa 3 unit moja imekata.
Ushauri wangu irudishe ikiwezekana ongeza hela tafuta tv ya led,
Pia hizo tv ni bei rahisi sana, zinakuwa hadi laki 6 hadi 8 kwa hio 50 inch, na kioo chake ni 720p ambacho sio kizuri kwa ukubwa huo,
hiyo tv ni janga la taifa asee, na usawa huu wa magumkuu mkwawa miye pia nina mdubwasha THOMSON (TV) HAUNA CHOGO wenyewe pekee ukiuwasha kwa siku ynakula hadi unit 6 kwa muda wa masaa 2tu