TV flat Samsung na ulaji wa umeme

TV flat Samsung na ulaji wa umeme

Mkuu model ni muhimu, tuijue tuangalie specs zake then ndio itajulikana kama inaweza ama la. Ila kwa haraka haraka haiwezekani kula umeme mwingi hivyo.

Chief vp hii MODEL 32L8IF ni LED aina ya sansan.
Niambie ubora wake na udhaifu wake.
 
Dah kama nilivyofikiria ni kitu cha plasma, hazitengenezwi tena hizo mkuu na wamekukamata. Ukiiwasha matumizi ya kawaida inakula 330 watts hivyo haifiki hata masaa 3 unit moja imekata.

Ushauri wangu irudishe ikiwezekana ongeza hela tafuta tv ya led,

Pia hizo tv ni bei rahisi sana, zinakuwa hadi laki 6 hadi 8 kwa hio 50 inch, na kioo chake ni 720p ambacho sio kizuri kwa ukubwa huo,
Nimepata shule nami, kumbe plasma, zimeachwa kwa ulimwengu
 
Chief vp hii MODEL 32L8IF ni LED aina ya sansan.
Niambie ubora wake na udhaifu wake.
mkuu tatizo la hizi brand zisizojulikana hakuna information yoyote inayojulikana mfano ingiza google hio model utaambiwa no result, hivyo ni karibia haiwezekani kupata taarifa za hio tv
 
Brand za 32L81F zipo mkuu kwenye google but mm siyo mtaalamu wa mambo hayo ndiyo maana nkakuuliza.
 
Tatizo ni ww,unatumia mda mwingi kuangalia hiyo tv maana ni mpya.Pia Unaonekana unaishi ktk nyumba za kupanga so ushindani wa matumizi ya umeme ni wa Kasi zaidi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom