vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Una uhakika? Hujawahi hata kusema "mimi mjinga" yaani mimi!?
Ahahahaha mi mtu safi kama mchanga wa ufukweli vile
Una uhakika? Hujawahi hata kusema "mimi mjinga" yaani mimi!?
Cheki nilivyoweka mikono! Mkao wa golikipa nangojea kuidaka hiyo zawadi,jinsi nilivyomuadilifu!
Weye kijana mie sijakupigia upatu wa zawadi, ila kuna mtu ka-hack account yangu, ngoja nimfuatilie na nita mhack mpaka fb kwake.Asante Ng`wanakidiku kwa kuona ustaarabu wangu
Yaani hata mimi,sijawahi kulambwa ban kwenye ID zangu zote kumi!
Ila nimewahi kugombana na jamaa mmoja hivi,nadhani Lizzy anakumbuka... Alinikorofisha sana... Ila sikutumia matusi ya ndani ya nguo!
Nao yua toking!duh . . .
Hatutaki hata ambaye alishawahi fanya matusi.
Yaani hapa panatakiwa kuwa matusi free zone.
Yaani wewe hii I'd yako tu ni tusi unajua? Afu I'd 10 ni sawa na kumtukana invisible kuwa hajui kukudhibiti. Sema suu nibeonye abyuzi
jamani jamani huyu ni mwizi wa kuraAsante Angel kwa kunipa shavu
Nao yua toking!
E bwana hujui hata pahala pa kusalimia?jamani habari ya asubuhi? nawasalimu katika jina la UPENDO, FURAHA NA AMANI
vigezo na masharti kuzingatiwa...mie nafaa.
Aaah wewe wakikupa ntaandamana... Hiyo ID yako c ni jina la kile KIFANYIO wewe!!!??
Hahahaaaa umeanza King'asti.....Nipo mwaya, nilifichwa vekesheni na small house. Afadhali uniachie tuzo, ntakugawia mshiko wake. Hongera naskia umeibua kimwana...
Angel umenipendekeza wewe sasa naibaje?jamani jamani huyu ni mwizi wa kura
Asante kwa kunipendekeza MmwaminifuMimi nampendekeza Erickb52. Zinatolewa lini?
Asante Babkey.......Erickb52 anafaa.