Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
NakaziaKama MOSHI haipo, basi list yako ni batili.
NakaziaKama MOSHI haipo, basi list yako ni batili.
Kwqmba jina lanTandahimba kubwa kuliko Mtwara ?01. BUKOBA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Kagera lakini ina juna na brand kubwakuliko mioa wenyewe, wakazi wa huu mkoa ni Wahaya na imegawanyika katika pande mbili ambyo ni Bukoba Manispaa na Bukoba Vijijini.
02. KAHAMA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa shinyanga, wakazi wa wilaya hii ni wasukuma na ni wilaya iliyoendelea zaidi mkoani hapo Shinyanga
03. Musoma
Zamani nilikuaga najua musoma ni mkoa kumbe ni wilaya tu inayopatikana mkoa wa mara huko kwa wazanaki na wakurya hawa wazanaki na wakurya ni watu wanaopenda kulipiza visasi na kucheza na majambia but all in all musoma ni wilaya iliyoendelea zaidi kuliko mkoa wenyewe
04. SUMBAWANGA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Rukwa huko unaambiwa hakuna mchezo mchezo ukileta ufala nawewe unaletewa ufala.
But all in all ni wilaya iliyoendelea zaidi mkoani Rukwa kuliko mkoa wenyewe.
05. TANDAHIMBA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Mtwala na ni wilaya yenye brand na iliyoendelea zaidi kuliko mkoa wenyewe.
View attachment 2686615
Kumbe song songea ni wilaya?Nashangaa, akati Songea ilibidi iwepo kwa list.
Chitoholi
Ndyoo ni wilayaaKumbe song songea ni wilaya?
Tulikua wajinga
BUKOBA01. BUKOBA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Kagera lakini ina juna na brand kubwakuliko mioa wenyewe, wakazi wa huu mkoa ni Wahaya na imegawanyika katika pande mbili ambyo ni Bukoba Manispaa na Bukoba Vijijini.
02. KAHAMA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa shinyanga, wakazi wa wilaya hii ni wasukuma na ni wilaya iliyoendelea zaidi mkoani hapo Shinyanga
03. Musoma
Zamani nilikuaga najua musoma ni mkoa kumbe ni wilaya tu inayopatikana mkoa wa mara huko kwa wazanaki na wakurya hawa wazanaki na wakurya ni watu wanaopenda kulipiza visasi na kucheza na majambia but all in all musoma ni wilaya iliyoendelea zaidi kuliko mkoa wenyewe
04. SUMBAWANGA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Rukwa huko unaambiwa hakuna mchezo mchezo ukileta ufala nawewe unaletewa ufala.
But all in all ni wilaya iliyoendelea zaidi mkoani Rukwa kuliko mkoa wenyewe.
05. TANDAHIMBA
Ni wilaya inayopatikana mkoa wa Mtwala na ni wilaya yenye brand na iliyoendelea zaidi kuliko mkoa wenyewe.
View attachment 2686615
Bukoba
Moshi
Musoma
Songea
Sumbawanga
Ya Kwako ni List of Shame
KiliROMBO iko wapi
Kibaha siyo kweli.1.Musoma
1.Tarime
2.Songea
3.Moshi
4.Kibaha
5.Sumbawanga
6.Bukoba
7.Kahama
8.Babati
9.Nachingwea.
Iwepo Kwa Sababu Gani.. umemuelewa mtoa masa???Kama MOSHI haipo, basi list yako ni batili.
Moshi kwa Sababu Gani?? Hivi moshi inajina kubwa kuliko Kilimanjaro???Songea
Bukoba
Moshi(hapa Tuko std 5 ,swali la kwenye Mtihani tuliulizwa Mlima Kilimanjaro uko Mkoa Gani?,tukajibu Moshi)tulikosa darasa kasoro mtu mmoja anaitwa Amina aliandika Kilimanjaro
Ongeza na kibahaBukoba
Moshi
Musoma
Songea
Sumbawanga
Nilikuwa najua huo ni mkoaMusoma