Watahama sasa...wewe Wabongo si unawajua kwa ubishi.Ko ameamua kuchoma soko ili wajenge soko lingine, si wangewambia tu wafanyabiashara wahame kwa muda
Halaf yeye kama anafahamu kuna hilo banda linawashaga mishumaa kwanini hakuchukua hatua, na tena yeye mlinzi😎Huyu jamaa ni nani na yupo kwa maslahi ya nani? Tukio la kuungua moto soko la Kariakoo alikuwa ni machinga, tukio la kuungua moto Karume yeye ni Mlinzi?na anapata attention ya media. Je huyu ni sehemu ya wale jamaa zetu...
Futa comment yko jamaa wa mabakamabaka naona wanajaza gar mafuta wanakufuataKo ameamua kuchoma soko ili wajenge soko lingine, si wangewambia tu wafanyabiashara wahame kwa muda
Huwa yapo tu kama mazombie! alikuwepo mmoja alikuwa hana shule yoyote akaajiriwa kama stoo kipa wa halmashauri! ni mjanja kila wakati yuko karibu na wataalam wanafanya kazi kwa niaba yake hata kwa hongo.Huyu jamaa ni nani na yupo kwa maslahi ya nani? Tukio la kuungua moto soko la Kariakoo alikuwa ni machinga, tukio la kuungua moto Karume yeye ni Mlinzi?na anapata attention ya media. Je huyu ni sehemu ya wale jamaa zetu?
View attachment 2086725
View attachment 2086726