Am just pasng thrgh
Allez allez allez ...
Am just pasng thrgh
Kabisa yaani ukijudge ata social media posts fans wake utagundua ana qualities za kiongoz na tatizo watu atuna elimu na ambao walienda shule awakuzingatia form two civics inafundisha qualities of a good leader wema ana jamaniMzee Mwanakijiji Kwa nini unamlinganisha Wema na akina Sugu, Afande Sele, na Prof. J? Kuna tofauti kubwa sana tu! Hawa wenzake kazi zao za kisanii za huko nyuma zina chembechembe za kiharakati na kisiasa tofauti sana na huyu Wema. Issue kwa wapigakura wengi siyo kazi ya mgombea, bali ni track record.
Jamani huyu dada hajielewi kabisaaaa!!! hv unafikiriaga kile kipindi chake pale EATV(My Shoes) kina mlengo gani kwenye jamii?? Katika binadamu ambao cjawahi kuwaelewa ni huyu bixhost!!!
Kweli siasa imevamiwa
wana jamii naomba tusaidiane,kati ya wema na zito. :bange: kabwe ni nani maarufu? hiyo moja
la pili kati ya :bange: zito na wema :bange: sepeto nani atafanikiwa kwenda mjengoni mwezi wa kumi?
la tatu kati ya wema na :bange: zito nani kapitia taasisi sahihi?
Nimeiangalia hiyo picha inayoonesha wananchi wakiwa na nyuso za bashasha wakifurahia kumuona huyu mheshimiwa mtarajiwa. Hapa wameshindwa kutofautisha umaarufu wa huyu dada katika filamu na sifa za mtu wanayetaka awe mwakilishi wao bungeni. Nafikiri hii picha ni mfano mzuri wa ile kitu Karl Marx aliita "false consciousness". Na huyu dada atachaguliwa kwa kuwa ni "maarufu" and not necessarily kuwa amepimwa na kuonekana anafaa kuwa "mwakilishi" wa kundi fulani la watu.
"Hakuna sifa aliyopungukiwa"? Hao wengine tunaowakosoa kila siku wamepungukiwa sifa gani? Kwa kuwa anagombea uwakilishi, lazima awe scrutinized bila kujali umaarufu au jinsia yake. Mimi nafikiri si sawa yeye kwenda kuomba kuwa mwakilishi wa watu wa Singida wakati yeye si "mwana Singida" [wana Singida ni wakulima na wafugaji na wanaishi Singida]. Hiyo ni dharau kwa "wana Singida". Mwakilishi wa "wana Singida" ni vyema akatoka miongoni mwa "wana Singida".
Huwezi kutoka huko ulikotoka kama "outsider" kuja kuomba kutuwakilisha. In fact, "wana Singida" ndio wanatakiwa kumuomba mtu mmoja miongoni mwao awawakilishe. Hii dhana ya mtu kuomba kuwawakilisha wengine ina mapungufu. Kwa nini uombe kuwa mwakilishi wa watu ambao si "wenzako"? Kwa nini usisubiri uombwe na "wenzako" kuwa mwakilishi wao?
Double standard or not, nchi hii haihitaji kina "Wema" bungeni kutunga sheria.
Yote Tisa: Kama watu wanaogombea wako hivi, kwanini Wema naye asigombee? Ukikubali kina fulani wagombee, basi na kina fulani nao waachwe wagombee. Watanzania wakiwachagua wataishi na uchaguzi huo kwa miaka mitano. Kama ana mashabiki wake katika Bongo Movies na hata nje ya Bongo movies, kwanini asigombee?
Nina uhakika kama ingekuwa ni marehemu Kanumba watu wangeunga mkono tu - na alitangaza nia ya kugombea kwa wanaokumbuka.
Tusimnyanyapae kwa sababu ni mwanamke au ametumia vipaji vyake jinsi alivyotumia. Mbona Sugu aligombea akashinda na hajahukumiwa kwa Bongo Flava yake huko Mbeya bali kwa uwakilishi wake kwa wananchi wa Mbeya?
Tumesikia Profesa J, Afande Sele, wote wanania ya kugombea, lakini sidhani kama wamehukumiwa kwa sababu ya muziki wao. Kwanini iwe kwa Wema?
Ilimradi anatimiza vigezo vya msingi - raia wa Tanzania, miaka 18 na hajawahi kufungwa kwa zaidi ya miezi sita (I think) basi aachwe agombee tu.
Lakini upande wa pili una ukweli pia; yeyote anayetangaza kugombea ajue pia ametoa haki ya wananchi kukosoa, kubeza na hata kutounga mkono kugombea kwake. Ndio raha ya demokrasia; sio wote wanapaswa kumuunga mkono; haijalishi cheo gani. Ndio maana tupo wengine hatuwaungi mkono kina Lowassa na wengine.
Inawezekana tungependa agombee kwa chama kingine isipokuwa CCM; well, ndio uzuri mwingine wa demokrasia pia. Wengine wa Bongo Flava na Bongo Movies wamegombea nje ya CCM na ni haki yao; na wengine wenye kuamini CCM wagombee, vinginevyo tutakuwa taifa lenye mawazo ya aina moja tu kama mashine.
MMM
tyranny of majority .
Tanzania tunafanya mambo kinyume na dunia inakoelekea.Kuna watu wanahalalisha uwepo wake kwa sababu tu kuna wapuuzi huko bungeni basi turuhusu wendawazimu wengine pia waende.AJABU.
nilitegemea tuhamasishe watu tuwatoe hao wajinga na kulisafisha bunge badala yake tunapanga kulichafua zaidi.INASIKITISHA
Sio demokrasia ni democrazy
TEAM WEMA SEPETU
Unafikiri watu kwa hiyo picha wanafurahi kumuonaa WEMA akitangaza nia ya ubunge????????? LA HASHA Bali wanamshangaa maana kitambo walipata kumuonaa kwa television na SIO LIVE
SO hiyo ulikua chans kwao kujionea kwa macho
Hivi, unapoona mkutano wa CCM ukiwa na lundo LA Raia Hua Unafikiri wote ni wanachama????????
Shame upon you, WEMA awe mbunge wa BONGO MOVIES AU fikir twice na SIO kukurupuka tu au ndo yule WANJERA hhahahhhhahhaahhahhahahaahah!!!!!!!!!!!!!!