hakika..Huyo unamwogesha kwanza kabla ya kupiga pumbu
kiubinadamu kazi aliyoifanya ni kubwa ilibidi wamuachie hiyo tvduhhh!!! hiyo nguvu kazi alotumia hadi kuvunja ukuta kuingia ndani na kutoka, kama angejitahidi namna hiyo kufanya kazi za halali hivi sasa angekuwa na utajiri wa TRUMP
Angekwenda Geita kuchimba dhahabu angefanikiwa.duhhh!!! hiyo nguvu kazi alotumia hadi kuvunja ukuta kuingia ndani na kutoka, kama angejitahidi namna hiyo kufanya kazi za halali hivi sasa angekuwa na utajiri wa TRUMP
Kweli kabisa ndugu akili za watu bana hawajiongezi hata kidogo aiseeduhhh!!! hiyo nguvu kazi alotumia hadi kuvunja ukuta kuingia ndani na kutoka, kama angejitahidi namna hiyo kufanya kazi za halali hivi sasa angekuwa na utajiri wa TRUMP