Je wajua wali unaweza kukuua

Je wajua wali unaweza kukuua

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,909
Reaction score
3,220
Chakula kikiingia kwenye mlango wa hewa (koo la hewa au trachea), hali hiyo kitaalamu inaitwa kukaba au asphyxiation. Hii hutokea kwa sababu njia ya chakula na njia ya hewa zinachepuka sehemu moja kooni, na vali ndogo iitwayo epiglottis isipofunga vizuri wakati wa kumeza, chakula huingia upande usio sahihi.

Tuwe makin tusile huku tunaongea njia ya hewa itakua waz utakufa gafla watu waseme umelogwa
 

Attachments

  • Screenshot_20260826_202145_Instagram.jpg
    Screenshot_20260826_202145_Instagram.jpg
    63 KB · Views: 3
Chakula kikiingia kwenye mlango wa hewa (koo la hewa au trachea), hali hiyo kitaalamu inaitwa kukaba au asphyxiation. Hii hutokea kwa sababu njia ya chakula na njia ya hewa zinachepuka sehemu moja kooni, na vali ndogo iitwayo epiglottis isipofunga vizuri wakati wa kumeza, chakula huingia upande usio sahihi.

Tuwe makin tusile huku tunaongea njia ya hewa itakua waz utakufa gafla watu waseme umelogwa
Sawa mkuu, ila wali n mtamu sana!
 
Chakula kikiingia kwenye mlango wa hewa (koo la hewa au trachea), hali hiyo kitaalamu inaitwa kukaba au asphyxiation. Hii hutokea kwa sababu njia ya chakula na njia ya hewa zinachepuka sehemu moja kooni, na vali ndogo iitwayo epiglottis isipofunga vizuri wakati wa kumeza, chakula huingia upande usio sahihi.

Tuwe makin tusile huku tunaongea njia ya hewa itakua waz utakufa gafla watu waseme umelogwa
Hiyo picha ingefaa ionekane hadi usawa wa magoti.
 
Back
Top Bottom