Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 687
- 1,090
Ndg zangu tuwe makini na hizi line za HALOTEL za m2m, wakishakusajili unaweza angalia balance vizuri.
Baada ya week moja ukitaka kuangalia salio hupati majibu. Hapo ni either uwapigie customer care au ushituke tu bando limekata.
Niliweka bando la 15,000/ Kwa 18GB mwezi. Matokeo yake ilinichukua 2 weeks nakuta Sina bando, hawa watu ni wezi wa mchana kweupe. Kwanini washindwe kukupa options ya kuangalia Bado Kila ufanyapo matumizi? WIZI WA mchana, jirekebisheni HALOTEL
Baada ya week moja ukitaka kuangalia salio hupati majibu. Hapo ni either uwapigie customer care au ushituke tu bando limekata.
Niliweka bando la 15,000/ Kwa 18GB mwezi. Matokeo yake ilinichukua 2 weeks nakuta Sina bando, hawa watu ni wezi wa mchana kweupe. Kwanini washindwe kukupa options ya kuangalia Bado Kila ufanyapo matumizi? WIZI WA mchana, jirekebisheni HALOTEL