Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

We mbuzi katiba mpya sio hisani ya Ccm kwa Chadema,bali ni matakwa ya wananchi walio wengi,, Pumbavuuu mataga wewe
 
Tunawapuuza kwa sababu waliharibu mchakato wa rasimu ya katiba iliyokuwa inajibu mambo mengi kama tume huru ya uchaguzi nk.kwa ubinafsi na tamaa ya uongozi.Wakaanzisha UKAWA umoja wa katiba ya wananchi badala ya kupambania katiba wakaigeuza kuwa chama cha siasa baada ya kumchukua lowassa CCM..halafu viongozi wale wale wanapiga kelele katiba mpya???No.inatakiwa viongozi nyuma ya hili waondolewe kwenye uongozi wa kisiasa halafu hao Ukawa waombe kurudi kwenye bunge la katiba ili kupiga kura kupitisha rasimu ili ipelekwe kwa wananchi kupigiwa kura

😂😂😂😂!

Na wananchi wengine ambao hata UKAWA hawamo nao unawaweka wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Tuwapuuze CCM kwa vile ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Mavi matupu
 
Tunawapuuza kwa sababu waliharibu mchakato wa rasimu ya katiba iliyokuwa inajibu mambo mengi kama tume huru ya uchaguzi nk.kwa ubinafsi na tamaa ya uongozi.Wakaanzisha UKAWA umoja wa katiba ya wananchi badala ya kupambania katiba wakaigeuza kuwa chama cha siasa baada ya kumchukua lowassa CCM..halafu viongozi wale wale wanapiga kelele katiba mpya???No.inatakiwa viongozi nyuma ya hili waondolewe kwenye uongozi wa kisiasa halafu hao Ukawa waombe kurudi kwenye bunge la katiba ili kupiga kura kupitisha rasimu ili ipelekwe kwa wananchi kupigiwa kura
Kivipi waliharibu? Wao walikuwa wengi bungeni? Kwa hyo walitoka na akidi?
 
Katiba mpya ikipatikana watakuwaje na Nia ovu? Weka hapa tuijadili isije ikawa chuki zako binafsi

Kazi kweli kweli. Madhara halisi ya awamu ile:

 
Mkuu hivi unajua kuwa:

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo imeweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Kuna rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi wenye uhalali tokea katika katiba yenyewe?
8. Nk, nk.

Bado unadhani hayo yanawagusa wanachadema tu?

Bado hudhani kuwa yote ya namna hiyo yanapaswa kupatiwa ufumbuzi pasipo na kuchelewa sasa, kwa kuyashughulikia ipasavyo kwenye katiba mpya?
Ndugu wewe umeandika vyema. Kama umesoma vizuri nimesema kuna mifano mingi sana ya kuonyesha mapungufu ya katiba na mimi nilitaja mfano tu wa wabunge. Ninachokataa ni nia ya CHADEMA kubadili katiba kwa nia tu ya chama chao kushika madaraka na kuwa na serikali 3 zitakazoongeza mzigo kwa walipa kodi. Mambo yanayopiganiwa na CHADEMA sio ya kumnufaisha mwananchi.
 
Mkuu acha kulinganisha mavi na vitu vya kijinga
Mende
giphy.gif
 
Mtu akiwashwa mfereji wake akunwe kwa kutumia bunzi la mahindi.Mleta uzi akunwe kwa mtindo wa kusuguliwa.😝😝😝😝
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
Hii ni moja ya Uzi takataka wa kufungua wiki!
Hujui na Wala hukiamini ulichokileta hapa! Katiba ya nchi siyo ya chama.
Usichokijua ni kuwa katiba ni Nuru ya kuwaongoza wananchi wote bila kujali itikadi zao. Wewe endelea kusota kwa kusubiria teuzi!
 
Ndugu wewe umeandika vyema. Kama umesoma vizuri nimesema kuna mifano mingi sana ya kuonyesha mapungufu ya katiba na mimi nilitaja mfano tu wa wabunge. Ninachokataa ni nia ya CHADEMA kubadili katiba kwa nia tu ya chama chao kushika madaraka na kuwa na serikali 3 zitakazoongeza mzigo kwa walipa kodi. Mambo yanayopiganiwa na CHADEMA sio ya kumnufaisha mwananchi.

#1. Nimekuorodheshea baadhi ya mapungufu mazito yaliyoko kwenye katiba iliyopo. Ninaamini unakubaliana nami kuwa ni hatari sana kuiacha katiba ya nchi katika hali iliyopo sasa.

#2. Maoni ya serikali 3 ni sehemu ya mahitajio ya baadhi ya wananchi ambao pia hawawezi kupuuzwa. Utakuwa umesikia ukakasi wa uwepo wa Mawaziri na waajiriwa toka Zanzibar katika wizara za JMT ambazo pia zipo SMZ. Mfano Elimu, fedha, afya nk.

Haya yanastahili ufumbuzi wa kikatiba wala si kufunikwa. Wengine wanadhani serikali 3 zitatanzua nyingi ya kero kama hizi. Majadiliano, maridhiano na kura za maoni hayajaacha kuakisi mahitajio ya watu.

#3. Nia ya Chadema kushika madaraka ni halali na ipo kwa mujibu wa katiba iliyopo. Tatizo ni kuwa katiba hii inawanyima vyama vingine wakiwamo Chadema haki hii tena kwa mlango wa nyuma.

Katiba iliyopo haiwapi haki sawa vyama vingine kushindana na CCM katika maeneo mengi. Mfano tume ya uchaguzi si huru, watendaji wakuu walioko madarakani hawahojiwi wala kuwajibishwa kwa lolote kwa mujibu wa katiba, wakati upinzani wao wakiwa ni wahanga wa moja kwa moja wa mamlaka.

Bado huoni kuwa Chadema nao kama wananchi wa nchi hii wanayo haki ya kudai usawa na kwa hilo katiba mpya ndilo jukwaa muafaka zaidi?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kwel ww ni nguchiro
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee.

Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (Chadema).

Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani kutaka katiba mpya kwa maana iliyopo haifai. Kwa haraka haraka waweza kudhani wapinzani wana nia njema kumbe hakuna. Nitafafanua bila kutoza gharama yoyote ikiwa kama shukrani kwa mwenyezi kwa hii akili kubwa niliyojaliwa ili kusaidia binadamu wenzangu.

Kabla ya kuongelea CHADEMA na suala lao lazima tukubaliane watanzania wengi hawajasoma hii katiba mpya kujua yaliyomo. Wewe unayesoma hapa kuna ibara gani ya katiba waweza ikumbuka na kilichomo humo? Kwahiyo kabla ya kutaka katiba mpya lazima wawaeleze wafuasi wao kuisoma na kuielewa katiba iliyopo.

Kuwaswaga watu kama mifugo sio sawa. Kwa tunaoifahamu katiba hii iliyopo tunakubali kwamba ina mapungufu mengi hasa kwa nyakati hizi za vyama vingi na mabadiliko mbalimbali duniani. Kama enzi za Nyerere aliona ina mapungufu, je vipi nyakati hizi? Haina ubishi lazima kuna marekebisho yafanyike. Kwa mfano sifa ya mbunge ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Taifa kwa sasa lina wasomi wengi sana kwahiyo hakuna haja ya kupeleka bungeni watu wasio na elimu. Mifano ni mingi sana ya mapungufu kwenye katiba.

Kwanini tuwapuuze CHADEMA? Tunawapuuza kwasababu nia yao ni kutaka katiba itakayowawezesha kushika madaraka na kunufaisha genge la viongozi wachache na sio kumnufaisha mwananchi. Wakati ule wa mchakato wa kupata katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba tuliona jinsi gani viongozi wa CHADEMA walivyoweka maslahi yao mbele kwa kudai serikali tatu kwanza badala ya kurekebisha mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja.

Serikali tatu ni kumuongezea mwananchi gharama ya kuziendesha. Kwahiyo CHADEMA wanataka mabadiliko kwa manufaa ya viongozi sio wananchi wote. Nawasihi wananchi wote tutafute namna nyingine ya kubadili katiba yetu bila kutumjka na hili genge lenye maslahi binafsi.
 
Mojawapo ya ushauri wa kipuuzi kuwahi kuwekwa hapa JF!
Ndugu Mshana kabla ya kuona huu ni upuuzi jikumbushe kwamba Rais wa JMT ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM ndiye huteua wajumbe wa kukusanya maoni kuhusu katiba mpya pia Mwenyekiti wa CCM kwa kushirikiana na Rais wa SMZ ambaye nae ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM ndio huteua wabunge wa bunge la katiba. Katiba ya Tanzania hadi muda huu itabadilishwa CCM ikiridhia. Au endapo kutatokea mpasuko ndani ya CCM. Na kamwe harakati za CHADEMA ni kujifurahisha tu.
 
Back
Top Bottom