MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,413
- 40,259
Hawa watu ni muhimu sana kwa uchumi na maendeleo ya taifa. Sio rahisi ila wanapambana. Binafsi nina uhakika ni wafanyabiashara wachache sana nchini ambao wanafanya biashara zao pasipo kuwa na stress kubwa. Wengi presha zinapanda na kushuka.
Kuna kundi kubwa sana ni kama linawafanyia kazi mabenki na taasisi nyingine za mikopo. Ukiona hisa za benki zinapanda thamani ujue kuna wafanyabiashara wanapambana kurejesha mikopo.
Kuna ambao hata hawana mikopo ila wanafanya kila namna kukuza biashara zao ila wanaishia kujikuta wanatafuna mitaji yao bila kupenda. Kuna saa mtu unajiona kabisa unakula mtaji ila huna namna kuzuia. Yaani mambo ni mengi sana.
Hawa watanzania wenzetu wanaoweza kutumia akili zao kuhakikisha biashara zinafanyika na watu wananufaika kupitia ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja wanapaswa kuombewa na kutiwa moyo. Haijalishi mfanyabiashara mkubwa wala mdogo, wote stress ziko palepale.
Ninawasihi waandamanaji hiyo tarehe 9 Dec wasifanye uharibifu waliofanya tareh 29. Kuharibu biashara ya mtu ni kuvuruga maisha ya watu wengi wasio na hatia. Ninalisihi jeshi la polisi lisisite kuchapa risasi wote watakaojitokeza kuvamia biashara za watu. Mkiwapiga palepale kwenye tukio itaepusha kupiga wasiohusika.
Kuna kundi kubwa sana ni kama linawafanyia kazi mabenki na taasisi nyingine za mikopo. Ukiona hisa za benki zinapanda thamani ujue kuna wafanyabiashara wanapambana kurejesha mikopo.
Kuna ambao hata hawana mikopo ila wanafanya kila namna kukuza biashara zao ila wanaishia kujikuta wanatafuna mitaji yao bila kupenda. Kuna saa mtu unajiona kabisa unakula mtaji ila huna namna kuzuia. Yaani mambo ni mengi sana.
Hawa watanzania wenzetu wanaoweza kutumia akili zao kuhakikisha biashara zinafanyika na watu wananufaika kupitia ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja wanapaswa kuombewa na kutiwa moyo. Haijalishi mfanyabiashara mkubwa wala mdogo, wote stress ziko palepale.
Ninawasihi waandamanaji hiyo tarehe 9 Dec wasifanye uharibifu waliofanya tareh 29. Kuharibu biashara ya mtu ni kuvuruga maisha ya watu wengi wasio na hatia. Ninalisihi jeshi la polisi lisisite kuchapa risasi wote watakaojitokeza kuvamia biashara za watu. Mkiwapiga palepale kwenye tukio itaepusha kupiga wasiohusika.