Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Musiba na willy Gamba "wake" alitukamata sana wengine miaka ile,mpaka eti tukawa tunamtengeneza willy gamba vichwani mwetu kwamba ni kijana fulani mtanashati hivi..shushushu hatari mwenye uwezo wa hali ya juu wa sanaa za mapigano.Nakumbuka willy gamba na ushujaa wake kwenye vitabu vya Elvis Musiba kama:
Njama
kikosi cha kisasi
Hofu
etc
LOL! Kufa na Kupona = Live and Let Die ?