Tuwaeleze Watoto ukweli kwamba mali za Wazazi sio nali zao

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu Wakumbusheni Watoto Wetu Asa Asa Jamii Ya Sasa Kwamba Mtoto Sio Mrithi Wa za Wazazi Wake Wakiwa Wangali Hali.

Kisheria Mali Ni za baba na mama ndo maana zinaitwa kisheria Matrimonial Property

Yaani Baba akifariki umiliki unahamia kwa Mama na Mama akifariki umiliki unahamia pia kwa Baba.

Hata Mzazi au Wazazi Wakiamua kuuza Mali zao kisheria hakuna mtu au Mtoto wa kumzuia

Kwa Mujibu wa Sheria ya Mtoto ya 2009, Mtoto haki zako ni pamoja na kupata matunzo na haki ya kupata elimu ukifikisha miaka 18 haki zako zinaanza kupoteza automatically.

Tuwakumbushe Hao Watoto wetu Kwamba Baba au mama akiwapa watoto urithi wa Mali zake hiyo ni kama favour tu na siyo lazima kisheria.

Sasa Wazazi wote wakifariki baba na mama Kama Watoto Wapo basi automatically Mali zinahamia kwa watoto.

Niwatakie Usiku Mwema na Mungu Awabariki Sana Wakuu
 
Inasitahiri kua hivo lakini dunia ya sasa mambo ya nebadilika kwa sie wote mme hawezi kumuamini mke na wanawake wa kileo sio nduyu hata siku moja siku akija kukugeuka ndo, utasema bora wanangu wa kuzaa hao tena ni ndugu wa kudumu, hivyo hivyo hata kwa wanaume.
 
Inasitahiri kua hivo lakini dunia ya sasa mambo ya nebadilika kwa sie wote mme hawezi kumuamini mke na wanawake wa kileo sio nduyu hata siku moja siku akija kukugeuka ndo, utasema bora wanangu wa kuzaa hao tena ni ndugu wa kudumu, hivyo hivyo hata kwa wanaume.
Usiogope Mkuu, Sio Kila Property/asset Ni Matrimonial Property/Asset

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ninaamini katika kuwaachia watoto mali
Sawa Ila wasije Wakajua Kwamba Ni Lazim UwaChie.
.
Niliwahi Kuwa Mkoa Wa Mara Kabila La Wajita na Waruri, Mzazi akitaka Kuuza Shamba au Mali Yake Yoyote Watoto Wakikataa Huwezi Kuuza.
.
Sasa Hii Sio Haki Maana Mali sio zao Ni Zako
 
Kwa mujibu wa sheria ya dini ya kiislamu,
1.Mali haiitwi mirathi mpaka mmiliki awe amefariki, alichokiacha ndo kinaitwa MIRATHI
2.Mwenye mali akigawa mali kwa watoto wake haiitwi mirathi hio ni mali tu,maana hajafa, kwa maana hio mwenye mali hawezi kugawa mirathi mana anakuwa ameshafariki, mirathi hugaiawa na wasimamiz waliobaki hai.
3.Mwenye Mali hana mamlaka wala nguvu ya kuchagua warithi kwa kuwa imeshaandikwa kwenye Quran ukifa ni nani anaetakia kukurithi na kwa kiwango gani,
4.Hairuhusiwi wala hautofanyiwa kazi usia wako endapo utasema "fulani asinirithi" kwa kuwa kwa mujibu wa dini ww sio mmiliki wa Mali hizo bali ww ni msimamiz tu"khalifa" Mmiliki sahihi wa mali zote ni ALLAH, na yy kimsingi aliekupangia kiwango utakacho milk(kusimamia)hapa duniani, ikimpemdeza atakufanya fukara pia akakufanya tajiri wa kutupwa.
5.Usia unazingatiwa ikiwa utausia kuhus deni,share (ikiwa ulikuwa unafanya biashara na mtu),kama ulimuahidi mtu kumpa sehem ya mali yako lkn isiwe nyingi kuwazidi warithi wako halali (watoto, mke, wazz)
6.Ni kinyume na sheria tena ni dhambi n dhulma kugawa mali kabla hujafa kisha ukasema huo mgao ndo "mirathi"No unatakiwa ufe ndo wasimamiz wagawe, ukiigawa ww Allah atahesabu ni sadaka tu isio na thawabu.
7.Ikiwa unataka kuepusha migogoro juu ya mali zako ukifa basi wape elim warithi wako wajue haki zao mbele ya mashekh.
8.Ni dhambi muislamu kukimbilia mahakamani kufata hukumu ya duniani kwani Allah ashaweka mgawanyo kwenye Quran.
Karibuni kwa maswali.
 
Kwa mujibu wa sheria ya dini ya kiislamu,
1.Mali haiitwi mirathi mpaka mmiliki awe amefariki, alichokiacha ndo kinaitwa MIRATHI
2.Mwenye mali akigawa mali kwa watoto wake haiitwi mirathi hio ni mali tu,maana hajafa, kwa maana hio mwenye mali hawezi kugawa mirathi mana anakuwa ameshafariki, mirathi hugaiawa na wasimamiz waliobaki hai.
3.Mwenye Mali hana mamlaka wala nguvu ya kuchagua warithi kwa kuwa imeshaandikwa kwenye Quran ukifa ni nani anaetakia kukurithi na kwa kiwango gani,
4.Hairuhusiwi wala hautofanyiwa kazi usia wako endapo utasema "fulani asinirithi" kwa kuwa kwa mujibu wa dini ww sio mmiliki wa Mali hizo bali ww ni msimamiz tu"khalifa" Mmiliki sahihi wa mali zote ni ALLAH, na yy kimsingi aliekupangia kiwango utakacho milk(kusimamia)hapa duniani, ikimpemdeza atakufanya fukara pia akakufanya tajiri wa kutupwa.
5.Usia unazingatiwa ikiwa utausia kuhus deni,share (ikiwa ulikuwa unafanya biashara na mtu),kama ulimuahidi mtu kumpa sehem ya mali yako lkn isiwe nyingi kuwazidi warithi wako halali (watoto, mke, wazz)
6.Ni kinyume na sheria tena ni dhambi n dhulma kugawa mali kabla hujafa kisha ukasema huo mgao ndo "mirathi"No unatakiwa ufe ndo wasimamiz wagawe, ukiigawa ww Allah atahesabu ni sadaka tu isio na thawabu.
7.Ikiwa unataka kuepusha migogoro juu ya mali zako ukifa basi wape elim warithi wako wajue haki zao mbele ya mashekh.
8.Ni dhambi muislamu kukimbilia mahakamani kufata hukumu ya duniani kwani Allah ashaweka mgawanyo kwenye Quran.
Karibuni kwa maswali.
Ahsante sana mkuu kwa ELIMU hii
 
Wakuu Wakumbusheni Watoto Wetu Asa Asa Jamii Ya Sasa Kwamba Mtoto Sio Mrithi Wa za Wazazi Wake Wakiwa Wangali Hali.
.
Kisheria Mali Ni za baba na mama ndo maana zinaitwa kisheria Matrimonial Property
.
Yaani Baba akifariki umiliki unahamia kwa Mama na Mama akifariki umiliki unahamia pia kwa Baba.
.
Hata Mzazi au Wazazi Wakiamua kuuza Mali zao kisheria hakuna mtu au Mtoto wa kumzuia
.
Kwa Mujibu wa Sheria ya Mtoto ya 2009, Mtoto haki zako ni pamoja na kupata matunzo na haki ya kupata elimu ukifikisha miaka 18 haki zako zinaanza kupoteza automatically.
.
Tuwakumbushe Hao Watoto wetu Kwamba Baba au mama akiwapa watoto urithi wa Mali zake hiyo ni kama favour tu na siyo lazima kisheria.
.
Sasa Wazazi wote wakifariki baba na mama Kama Watoto Wapo basi automatically Mali zinahamia kwa watoto.
.
Niwatakie Usiku Mwema na Mungu Awabariki Sana Wakuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Basi tusingekuwa na akina Dangote, Mo, Regina Mengi, Trump,
 
Mzee wangu alikuwa anapenda sanaa kututsmkia hilo neno la tutafute mali zetu vya kwake havituhusu hadi ikapekea nisiwe nawaza mali za home hata kidogo home oesa ipo miradi kibao ila sinaga shobo nazo na mishe zangu .hadi huwa analalamika kwanini hatumsaidia kusimamia mali zake .kauli mbaya sanaa hizi
 
Sawa Ila wasije Wakajua Kwamba Ni Lazim UwaChie.
.
Niliwahi Kuwa Mkoa Wa Mara Kabila La Wajita na Waruri, Mzazi akitaka Kuuza Shamba au Mali Yake Yoyote Watoto Wakikataa Huwezi Kuuza.
.
Sasa Hii Sio Haki Maana Mali sio zao Ni Zako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Kwa hiyo hata kuwalea na kuwasomesha watoto ni jukumu lako maana hawakukuomba uwazae na kama ukiwa mzazi maskini, kupata msaada kutoka kwao ni hisani Tu na sio lazma


hapa itakuwa sawa mkuu
 
Good! Watoto wanapaswa kufahamu mapema kuwa mali za mzee ni za mzee, wao hawana chao pale. Mpaka mzee atakapo fariki
 
Kwenye biblia kuna sehemu wameandika kwamba "amebarikiwa awaachiae urithi wana wa wanawe"....
tafsiri yake yule anayeacha mali mpaka kizazi chake cha pili kinazikuta,apewe ulinzi maalum.

hapa tunasisitizwa uvivu hautakiwi.
 
Kwa mujibu wa sheria ya dini ya kiislamu,
1.Mali haiitwi mirathi mpaka mmiliki awe amefariki, alichokiacha ndo kinaitwa MIRATHI
2.Mwenye mali akigawa mali kwa watoto wake haiitwi mirathi hio ni mali tu,maana hajafa, kwa maana hio mwenye mali hawezi kugawa mirathi mana anakuwa ameshafariki, mirathi hugaiawa na wasimamiz waliobaki hai.
3.Mwenye Mali hana mamlaka wala nguvu ya kuchagua warithi kwa kuwa imeshaandikwa kwenye Quran ukifa ni nani anaetakia kukurithi na kwa kiwango gani,
4.Hairuhusiwi wala hautofanyiwa kazi usia wako endapo utasema "fulani asinirithi" kwa kuwa kwa mujibu wa dini ww sio mmiliki wa Mali hizo bali ww ni msimamiz tu"khalifa" Mmiliki sahihi wa mali zote ni ALLAH, na yy kimsingi aliekupangia kiwango utakacho milk(kusimamia)hapa duniani, ikimpemdeza atakufanya fukara pia akakufanya tajiri wa kutupwa.
5.Usia unazingatiwa ikiwa utausia kuhus deni,share (ikiwa ulikuwa unafanya biashara na mtu),kama ulimuahidi mtu kumpa sehem ya mali yako lkn isiwe nyingi kuwazidi warithi wako halali (watoto, mke, wazz)
6.Ni kinyume na sheria tena ni dhambi n dhulma kugawa mali kabla hujafa kisha ukasema huo mgao ndo "mirathi"No unatakiwa ufe ndo wasimamiz wagawe, ukiigawa ww Allah atahesabu ni sadaka tu isio na thawabu.
7.Ikiwa unataka kuepusha migogoro juu ya mali zako ukifa basi wape elim warithi wako wajue haki zao mbele ya mashekh.
8.Ni dhambi muislamu kukimbilia mahakamani kufata hukumu ya duniani kwani Allah ashaweka mgawanyo kwenye Quran.
Karibuni kwa maswali.
Hizi tamaduni nyingine za kiarabu zimepitwa na wakati.
 
Hizi tamaduni nyingine za kiarabu zimepitwa na wakati.
Sio tamaduni, nimeandika hapo kuwa ni kwa 'mujibu wa dini ya kiislamu' nmejarib kushare tu na members other side ya jambo hili ili kuelimisha na kkmbusha watu,hakuna ulazima kukashifu hata muislam halazimishwi kutekeleza hizi sheria lkn ajue tu atakutana na mola wake
 
Back
Top Bottom