Unajua kwamba mzazi ana haki ya kuchukua na kutumia mali ya mwanae bila hata kumuomba?

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,474
Elimu ya Dini haina mwisho leo ndo ni mejifunza jipya kwamba katika mafundisho ya adaabu kwa mzazi, mama au baba wana haki ya kutumia mali au pesa za watoto wao hata bila kuomba wa husika,

Pili kutii wazazi wako na kuwa nyenyekea ni bora zaidi kuliko hata kufia kwenye jihad, na mtoto aruhusiwi kuenda kwenye jihadi bila ruhsa ya wazazi hata akiwa mkubwa,

Tatu mtoto hupaswi hata kuguna mbele ya wazazi wake au kulipiza kisasi, na kingune Mama ana nafasi tatu zaidi kwa mwanae kuliko baba, maanake kama unatoa zawadi mama unampa laki tatu baba anapewa laki moja.

Nimependa ufundishaji wa maadili katika dini ya kiislamu, laitu watu wote wange zingatia hayo mafundisho ki usahihi tunge ishi kwa Amani na salama zaidi.

I LOVE ISLAMIC RELIGION ITS MORE REALISTIC THAN THEORATICAL
 
Inapotokea baba na mama wote wamekuita kwa wakati mmoja unatakiwa kwenda kumsikiliza mama kwanza halafu ndo uende kumsikiliza baba
Lakini huduma za kuendesha familia anatoa baba, ila msaada mukubwa anapewa mama, whats the logic behind?
 
Elimu ya Dini haina mwisho leo ndo ni mejifunza jipya kwamba katika mafundisho ya adaabu kwa mzazi, mama au baba wana haki ya kutumia mali au pesa za watoto wao hata bila kuomba wa husika,

Pili kutii wazazi wako na kuwa nyenyekea ni bora zaidi kuliko hata kufia kwenye jihad, na mtoto aruhusiwi kuenda kwenye jihadi bila ruhsa ya wazazi hata akiwa mkubwa,

tatu mtoto hupaswi hata kuguna mbele ya wazazi wake au kulipiza kisasi, na kingune Mama ana nafasi tatu zaidi kwa mwanae kuliko baba, maanake kama unatoa zawadi mama unampa laki tatu baba anapewa laki moja.

Nimependa ufundishaji wa maadili katika dini ya kiislamu, laitu watu wote wange zingatia hayo mafundisho ki usahihi tunge ishi kwa Amani na salama zaidi.

I LOVE ISLAMIC RELIGION ITS MORE REALISTIC THAN THEORATICAL
 
Lakini huduma za kuendesha familia anatoa baba, ila msaada mukubwa anapewa mama, whats the logic behind?
Mkuu nilifikiri kwamba umeyaelewa vizuri mafundisho ya dini yako hadi kufikia kusema kwamba iko more realistic than theoretical, sasa sijaelewa logic behind ya kuuliza hilo swali kwamba kwanini huduma za kuendesha familia anatoa baba ila msaada mkubwa anapewa mama, ina maana bado hujaielewa vizuri hiyo dini yako na bado una mashaka nayo siyo
 
Elimu ya Dini haina mwisho leo ndo ni mejifunza jipya kwamba katika mafundisho ya adaabu kwa mzazi, mama au baba wana haki ya kutumia mali au pesa za watoto wao hata bila kuomba wa husika,

Nadhani hapo umechanganya mtoto ndo ANA HAKI hiyo
kuwasaidia WAZAZI ni hisani hasa wanapokuwa wamezeeka ila ni JUKUMU la mwana wa KIUME kuwalea WAZAZI wake pindi wanapokuwa wamezeeka

Mzazi ni jukumu lake kumlea kumvisha kumlisha mtoto wake mpk KIFO kwa mmoja wapo
Isipokuwakwa MTOTO wa kike akishamuoza anakuwaana HAKI nae tena na majukumu yote anamkabidhi MUMEWE

sawa na YEYE akishapata MKWE( mkewe mwanae wa KIUME) yeye MZAZI atabeba MAJUKUMU yote kama ilivyokua kwa MWANAE WA KIKE
yaan huyo MKWEWE ndo anakuwa MWANAE wa kike sasa
Ikiwa MWANAE atayumba kiuchumi au maradhi atahakikisha mkwewe anapata Mahitaji yote muhimu 7bu ameshakuwa mwanae
 
Nadhani hapo umechanganya mtoto ndo ANA HAKI hiyo
kuwasaidia WAZAZI ni hisani hasa wanapokuwa wamezeeka ila ni JUKUMU la mwana wa KIUME kuwalea WAZAZI wake pindi wanapokuwa wamezeeka

Mzazi ni jukumu lake kumlea kumvisha kumlisha mtoto wake mpk KIFO kwa mmoja wapo
Isipokuwakwa MTOTO wa kike akishamuoza anakuwaana HAKI nae tena na majukumu yote anamkabidhi MUMEWE

sawa na YEYE akishapata MKWE( mkewe mwanae wa KIUME) yeye MZAZI atabeba MAJUKUMU yote kama ilivyokua kwa MWANAE WA KIKE
yaan huyo MKWEWE ndo anakuwa MWANAE wa kike sasa
Ikiwa MWANAE atayumba kiuchumi au maradhi atahakikisha mkwewe anapata Mahitaji yote muhimu 7bu ameshakuwa mwanae
Mkuu kuwasaidia wazazi sio hisani ni amri imetajwa kama wajibu kwa mtoto wa kiume, katika Quran na hadeeth za mtume nyingi tu.
 
Back
Top Bottom