Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Mtu ni magonjwa na kashafika 60 cha ajabu hajaandaa Wosia wowote wala kuandika Urithi, anaacha kivumbi na kutoelewana pindi akifa.
Mtu hawajulishi watoto wake kwamba ana mali fulani, matokeo yake kuna wapangaji wanaweza kujimilikisha nyumba ambazo hawajajenga, watu wanajimilikisha mashamba, n.k.
Mtu ana falsafa za kizamani sana kwamba mtoto inabidi afike miaka 25 hadi 30 ndio amhusishe kwenye biashara zake huku akijua kabisa hata mnyama aliezeeka ni ngumu kumfundisha vitu vipya, Familia kama hizi kibao baba akifariki magari yanapaki yanaota kutu, nimeshuhudia watoto wanaouza hotel iliyowahi kuwa maarufu kwa Bei chee, vijana wanaouza duka waskisikia boss kafariki wanakomba kila kitu, n.k.
Mtu hawajulishi watoto wake kwamba ana mali fulani, matokeo yake kuna wapangaji wanaweza kujimilikisha nyumba ambazo hawajajenga, watu wanajimilikisha mashamba, n.k.
Mtu ana falsafa za kizamani sana kwamba mtoto inabidi afike miaka 25 hadi 30 ndio amhusishe kwenye biashara zake huku akijua kabisa hata mnyama aliezeeka ni ngumu kumfundisha vitu vipya, Familia kama hizi kibao baba akifariki magari yanapaki yanaota kutu, nimeshuhudia watoto wanaouza hotel iliyowahi kuwa maarufu kwa Bei chee, vijana wanaouza duka waskisikia boss kafariki wanakomba kila kitu, n.k.