Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

No i don’t stalk you just try to understand my point please!

Nimependezwa na hali ya utulivu uliyonayo hata kupelekea kuweka wazi hisia za upendo nilionao juu yako, Nidhahiri bado hatuna ukaribu wowote ingawa nimekuwa nafatilia baadhi ya maudhui yako mbalimbali kwenye majukwaa tofauti, Lengo lilikua nifahamu aina gani ya maono uliyonayo pia uzuri wa moyo wako sana sana.

NAOMBA UNIPOKEE NA KUNISTIRI KWAKUWA NIMEWIWA NA UPENDO WAKWELI KWAKO Clepatina 🌹
View attachment 2627898
kweli umeamua mzee....
 
No i don’t stalk you just try to understand my point please!

Nimependezwa na hali ya utulivu uliyonayo hata kupelekea kuweka wazi hisia za upendo nilionao juu yako, Nidhahiri bado hatuna ukaribu wowote ingawa nimekuwa nafatilia baadhi ya maudhui yako mbalimbali kwenye majukwaa tofauti, Lengo lilikua nifahamu aina gani ya maono uliyonayo pia uzuri wa moyo wako sana sana.

NAOMBA UNIPOKEE NA KUNISTIRI KWAKUWA NIMEWIWA NA UPENDO WAKWELI KWAKO Clepatina 🌹
View attachment 2627898
Asante kwa maneno mazuri dear❤️😍.
You made me smile kujua kuna mtu ananithamini hapa JF.
Asante kwa upendo.😍
Hata mimi nimetokea kukupenda na kukuzoea kiasi cha kutoogopa hata kukutania.😍❤️.
Ningekua sijaolewa na Mgweno fulani hivi hlf unipe kiti cha kuwa mkeo ningekikalia bila kusita😍🤣.
Kwa sasa just know that your sister Clepatina loves you so much😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️🥰😍🤩
 
Asante kwa maneno mazuri dear❤️😍.
You made me smile kujua kuna mtu ananithamini hapa JF.
Asante kwa upendo.😍
Hata mimi nimetokea kukupenda na kukuzoea kiasi cha kutoogopa hata kukutania.😍❤️.
Ningekua sijaolewa na Mgweno fulani hivi hlf unipe kiti cha kuwa mkeo ningekikalia bila kusita😍🤣.
Kwa sasa just know that your sister Clepatina loves you so much😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️🥰😍🤩
Ouch those words broke my heart 🥀🥀

Acha niwe mtulivu tuu! Naamini ipo siku yangu na mimi nitabarikiwa kupata mwenye hekima, Uvumilivu na upendo wa kweli kama wewe ingawa itanichukua mdaa sana kuufungua moyo wangu tena🥀😢🥀

Am going to listen now all blues hyped song...
Live long dear sis🥰🥰🥰 your broh love you more than everyone 🥰🥰🥰
 
Ouch those words broke my heart 🥀🥀

Acha ni mtulivu tuu! Naamini ipo siku yangu na mimi nitabarikiwa kupata mwenye hekima, Uvumilivu na upendo wa kweli kama wewe ingawa itanichukua mdaa sana kuufungua moyo wangu tena🥀😢🥀

Am going to listen now all blues hyped song...
Live long dear sis🥰🥰🥰 your broh love you more than everyone 🥰🥰🥰
Amen bro🙏
Asante kunielewa😍
Atakuja tu wakati wa Mungu ukifika.🙏

Long may you live my darling broda.
Your sister foreva🙏😍
 
Amen bro🙏
Asante kunielewa😍
Atakuja tu wakati wa Mungu ukifika.🙏

Long may you live my darling broda.
Your sister foreva🙏😍
Haya mapenzi bhana ghafla nimekuwa totally down! 🥺🥺🥺

I don’t know why! But I thought it’s just a feelings was above the expectation... that I was thinking about though i’ll manage it...Hadi nimekumbuka enzi za primary up to university wakati nilivyokua na mahusiano na wapenzi wa kitambo damn me 😂😂😂
 
Hadi leo yupo res kinoma, nakumbuka kipindi kile mwanamke alimpa jamaa mwezi mmoja tu awe amepata kazib bila hivyo anampiga chini, jamaa si ndio demu wa kwanza akaja kuniambia nikamwambia piga chini hiyo mbwa tuanze upya...
Haa kwahiyo akamuacha kweli? Mkuu dhambi zake utabeba wewe uliyemfundisha(joke)😀😀🏃‍♀️
 
Asante kwa maneno mazuri dear.
You made me smile kujua kuna mtu ananithamini hapa JF.
Asante kwa upendo.
Hata mimi nimetokea kukupenda na kukuzoea kiasi cha kutoogopa hata kukutania..
Ningekua sijaolewa na Mgweno fulani hivi hlf unipe kiti cha kuwa mkeo ningekikalia bila kusita.
Kwa sasa just know that your sister Clepatina loves you so much
 
Ouch those words broke my heart

Acha niwe mtulivu tuu! Naamini ipo siku yangu na mimi nitabarikiwa kupata mwenye hekima, Uvumilivu na upendo wa kweli kama wewe ingawa itanichukua mdaa sana kuufungua moyo wangu tena

Am going to listen now all blues hyped song...
Live long dear sis your broh love you more than everyone
cjui nacheka nn hata. Ila poleee
Utapata tyuuh tulizo lako, kuwa mpoleeee
 
Haya mapenzi bhana ghafla nimekuwa totally down!

I don’t know why! But I thought it’s just a feelings was above the expectation... that I was thinking about though i’ll manage it...Hadi nimekumbuka enzi za primary up to university wakati nilivyokua na mahusiano na wapenzi wa kitambo damn me
 
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida

Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote

Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.

Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.

Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.

Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Unampiga tu vidole na kumfanyia vitu vingine kwa vitendo kama vile kumvua nguo na kumnyonya dushe hata akilia achana naye wewe mnyonye tu na hata kinyeo chake kipige ulimi kukisafisha ili tu apate mzuka. Ukisha maliza tafadhali rudi hapa kutupa mrejesho. Kwa vyovyote vile huyo jamaa yako atachangamka na kukuheshimu mno na kukuona wewe ni Mungu wake wa starehe hapa duniani.
 
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida.

Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote.

Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.

Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaani utajikuta umegeuka kiredio chake kama huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.

Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaani inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.

Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo. Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha.
Tuacheni ndivyo tulivyoumba 😎
 
Back
Top Bottom