Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,210
- 23,312
Kiasili mi ni mpole ila maisha yamenibadilisha ila bado nna upole ndani yangu.Nawe mpole?
Kiasili mi ni mpole ila maisha yamenibadilisha ila bado nna upole ndani yangu.Nawe mpole?
Unaweza kuwa mkimia lkn sio mpoleKiasili mi ni mpole ila maisha yamenibadilisha ila bado nna upole ndani yangu.
Nimepiga picha ya my new mbena lolAtakuwa mhehe huyo au mbena ndo zao hao ni wapole balaa, mi niliyenae hawezi kukaa na watu hata nusu saa nimemsema hadi nimechoka, kuonana ni usiku tu
poleeeee ukajidai kuringa na shouzz clepaah kumbe mwenzio Mrs Fulani,I just get hurt kwa sababu ya mapenzi aaagh! Huu ni ushenzi, mchezo wa mapenzi! Kind of and it get me sick some times you know!
Haya bwana hapa sina usemi tena yani! 😂😂😂😂😂 cocastic 10 - 0 IamBrianLeeSnr point kama zote 😂😂😂😂poleeeee ukajidai kuringa na shouzz clepaah kumbe mwenzio Mrs Fulani,
Unabaki kutesekaaaa, nyota yako ni mie.
Hebu njoo kulee nikunong'onezee kituuu,Haya bwana hapa sina usemi tena yani! cocastic 10 - 0 IamBrianLeeSnr point kama zote
Hahahaaa! Unazidi pigilia misumari kabisa😂😂😂😂😂Hebu njoo kulee nikunong'onezee kituuu,
Njoo wee ni babaa tamu wangu,Hahahaaa! Unazidi pigilia misumari kabisa
Sawa kwakua ubingwa umechukua sasa sina ujanja...Acha nikae humo tu🤦🏽♂️Njoo wee ni babaa tamu wangu,
Sasa niliye muachia kumbe ana wake, sasa kwann utesekeee?? Tusogeze siku, ukimpata wa kumpenda ntamuachiaa.
baba tamu akeeSawa kwakua ubingwa umechukua sasa sina ujanja...Acha nikae humo tu
Nipo natengeneza veggies hapa!baba tamu akee
Ushakula lunch??
Sasa si unambie nije nikupikie mie babee jomoneee, unapataje tabu na mie nipoooo.Nipo natengeneza veggies hapa!
Just one day nitakuita wala usiwaze😂😂😂Sasa si unambie nije nikupikie mie babee jomoneee, unapataje tabu na mie nipoooo.
Naisubiri kwa hamu huyo siku,Just one day nitakuita wala usiwaze
Hii leo nimeamua tu kwakua nipo home tu! Sijatoka kabisa....
Wanawake ni kama Elon musk tu. Hata uwape dunia yote hawataridhika, watataka kwenda Mars pia
Kwa nini lakini mrembo cocastic? 😅huyo hapanaaaaa.
Hamna noma! Sema dah! Najichoresha kinyama yani...😂😂😂Naisubiri kwa hamu huyo siku,
Nije kukupa mambo ya kula afu ule, au ule afu kula. Yuu nouu? Uwiiiii