veroos
Member
- Sep 15, 2020
- 45
- 230
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida.
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote.
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaani utajikuta umegeuka kiredio chake kama huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaani inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo. Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha.
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote.
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaani utajikuta umegeuka kiredio chake kama huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaani inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo. Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha.