Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Mwantumu amejua kutuchanganya. Na wewe alikuambia ni mimba yako? Mimi aliniambia pia kuwa nimemtia mimba.... Tumeambiwa wanaume 7 kuhusu hilo jambo.
Mtumie hela mkuu, ndiyo kazini kwake, anakula kwa urefu wa mkia wake
 
Umebarehe kabisa lkn ni zero kabisa kuogopa ukimwi ni dalili ya uoga hio pigakavu kavu inanoga
 
Kwa taarifa zilizopo maambukizi yameongezeka hivi karibuni. Leo nimemsikia mkuu wa wilaya ya karatu akilizungumzia hili kwa wilaya yake. Kipekee amesisitiza halmashauri yake kuongeza mabango ya kampeni ya kujikinga na UKIMWI.

Hata hivyo, kampeni za kujikinga na UKIMWI zinapaswa kwenda sambamba na kampeni dhidi ya vilevi. Watu wengi sasa hivi wanao uelewa wa kujikinga na UKIMWI, tatizo linabaki pale tunapokuwa tumeshatumia vilevi. Under influence ya vilevi ni rahisi mtu kufanya maamuzi yatakayoharibu maisha yake yote.
Kwasasa watu wengi hawachukui tahadhari kabisa, hasa hawa vijana wadogo wadogo, wanaloweka na kulowekwa tu.

Hongera kwa huyo mkuu wa wilaya kaamua kusema ukweli.

Unapopita Mwenge wa Uhuru huwa kuna fursa ya kupima afya ikiwa ni moja ya lengo la kupambana na maambukizi dhidi ya H.I.V lakini cha ajabu taarifa ikisomwa inarembwa rembwa.

Waiweke jamii wazi ili ijue ilipo kwa ajili ya kujikinga na kuchukua tahadhari.
 
Hakika Mkuu
Niliuza mechi baada ya wiki ke wangu ananiambia "babe unanisaliti eeh" kumuuliza kwanini ananiambia mazing zong nilitoboka sio chini ya 200K hali kuwa shwari. Nilijutia alafu ukicheki ile pisi nyingine ipo fresh tu ila tulipima HIV alikuwa fresh tu. Baada ya hapo nimepima peke yangu mara 3 niko fresh.

Kuuza mechi no
 
Niliuza mechi baada ya wiki ke wangu ananiambia "babe unanisaliti eeh" kumuuliza kwanini ananiambia mazing zong nilitoboka sio chini ya 200K hali kuwa shwari. Nilijutia alafu ukicheki ile pisi nyingine ipo fresh tu ila tulipima HIV alikuwa fresh tu. Baada ya hapo nimepima peke yangu mara 3 niko fresh.

Kuuza mechi no
Kuna wakati tunapima HIV kwa macho, kuna pisi unajiambia ukitumia condom ni matumizi mabaya ya rasilimali
 
Back
Top Bottom