Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Ngoja nikusaidie.

Ana mpenz wake. Na wanaaminiana na huwa hawatumii Condom.

Ila mpenz wake huyo akapata mimba.
Na Jamaa hakuwa anajua, (hakuambiwa).
Bidada akapata complication za mimba ikabidi afanyiwe Operation.
Kwakuwa Bidada hakumwambia Jamaa kama ana mimba. Ni dhahiri atakuwa amemwambia mwanaume mwingne ambao ndiye mtia mimba. (Maana huwez fanya procedure kubwa hivyo bila kumwambia muhusika wa mimba).

Kiufupi, mpenz wake ana mpenz wake. Na ndio aliyetia mimba.

Bidada ana wapenz wawili na wote hawatumii Condom. Risk.
Sharing is caring

Acha uoga wa maisha
 
Achana na UKIMWI

Nimeumia sana mpenzi wangu amefanyiwa upasuaji kwa ajili ya complication za mimba

Yaani ata taarifa ya hiyo mimba nilikua sina

Tuvae condom, nasisitiza. SITAWAFUNDISHA TENA

Mwantumu amejua kutuchanganya. Na wewe alikuambia ni mimba yako? Mimi aliniambia pia kuwa nimemtia mimba.... Tumeambiwa wanaume 7 kuhusu hilo jambo.
 
Back
Top Bottom