Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

Ngoja nikusaidie.

Ana mpenz wake. Na wanaaminiana na huwa hawatumii Condom.

Ila mpenz wake huyo akapata mimba.
Na Jamaa hakuwa anajua, (hakuambiwa).
Bidada akapata complication za mimba ikabidi afanyiwe Operation.
Kwakuwa Bidada hakumwambia Jamaa kama ana mimba. Ni dhahiri atakuwa amemwambia mwanaume mwingne ambao ndiye mtia mimba. (Maana huwez fanya procedure kubwa hivyo bila kumwambia muhusika wa mimba).

Kiufupi, mpenz wake ana mpenz wake. Na ndio aliyetia mimba.

Bidada ana wapenz wawili na wote hawatumii Condom. Risk.
Wazee wa kununua haya hayatuhusu, umefafanua vyema
 

ayat 32 from Surah Al-Isra
﴿وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا
[ الإسراء: 32]

Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.​

mbaya. (17:32)​


And do not approach unlawful sexual intercourse. Indeed, it is ever an immorality and is evil as a way.



Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​


Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.



Wala msiukaribie uzinzi, kwa kuziingilia sababu zinazo pelekea uzinzi. Jambo hilo ni jambo la aibu na uovu usio fichikana, na hapana njia mbovu kama hiyo.​
 
Kuna ile umelewa alafu unapost , jf warudushe kile kipengere cha reviewing,,
 
Achana na UKIMWI

Nimeumia sana mpenzi wangu amefanyiwa upasuaji kwa ajili ya complication za mimba

Yaani ata taarifa ya hiyo mimba nilikua sina

Tuvae condom, nasisitiza. SITAWAFUNDISHA TENA
Kwa taarifa zilizopo maambukizi yameongezeka hivi karibuni. Leo nimemsikia mkuu wa wilaya ya karatu akilizungumzia hili kwa wilaya yake. Kipekee amesisitiza halmashauri yake kuongeza mabango ya kampeni ya kujikinga na UKIMWI.

Hata hivyo, kampeni za kujikinga na UKIMWI zinapaswa kwenda sambamba na kampeni dhidi ya vilevi. Watu wengi sasa hivi wanao uelewa wa kujikinga na UKIMWI, tatizo linabaki pale tunapokuwa tumeshatumia vilevi. Under influence ya vilevi ni rahisi mtu kufanya maamuzi yatakayoharibu maisha yake yote.
 
Back
Top Bottom