Kalamu ya Mwananchi
Senior Member
- Oct 27, 2020
- 100
- 550
Ukweli ni kwamba bunge lijalo halina madhara. Ni bunge kibogoyo.
Kwahiyo hata likirushwa live redioni au kwenye tv, bado halitakuwa na effect mbaya kwa serikali. Kwasababu wale wakosoaji/waibua mijadala ambao wangepata airtime kama bunge lingekuwa live, kipindi hiki hawapo. Wamebaki wagonga meza na waimba mapambio ya serikali.
Sana sana inaweza kutumika ili kujipa credit kuwa Tanzania bado kuna 'demokrasia'.
So tutegemee bunge lijalo kuwa live?
Kwahiyo hata likirushwa live redioni au kwenye tv, bado halitakuwa na effect mbaya kwa serikali. Kwasababu wale wakosoaji/waibua mijadala ambao wangepata airtime kama bunge lingekuwa live, kipindi hiki hawapo. Wamebaki wagonga meza na waimba mapambio ya serikali.
Sana sana inaweza kutumika ili kujipa credit kuwa Tanzania bado kuna 'demokrasia'.
So tutegemee bunge lijalo kuwa live?