Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kwa wale walioko nje na hawakubahatika kuiona hii basi ipitieni hii hotuba.
Mtasikia jinsi watu walivyoambiwa (TUCTA) kuwa watakula virungu vya FFU.....
Mkwara ulisaidia kwani TUCTA waliogopa virungu na Plaster........
Huu Mkwara kwa kweli ulikuwa Mzito. Mbayuwayu wakarudi kujipanga upya.
Mtasikia jinsi watu walivyoambiwa (TUCTA) kuwa watakula virungu vya FFU.....
Mkwara ulisaidia kwani TUCTA waliogopa virungu na Plaster........
Huu Mkwara kwa kweli ulikuwa Mzito. Mbayuwayu wakarudi kujipanga upya.
Last edited by a moderator: