Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Ni mtu mjinga tu atakayeshangilia hili ulilolileta hapa
Uchumi wa sasa hauendeshwi kwa maguvu kama ya John cenar
Uchumi unaendeshwa kwa akili na kanuni
Muda si mrefu mtakuja kuanza kupiga makofi vinginevyo....Bei ya sukari haishushwi kwa mtindo huo
Uchumi wa sasa hauendeshwi kwa maguvu kama ya John cenar
Uchumi unaendeshwa kwa akili na kanuni
Muda si mrefu mtakuja kuanza kupiga makofi vinginevyo....Bei ya sukari haishushwi kwa mtindo huo