FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
hahahahaaa na lipuli ya iringa
hahah kweli umenikumbusha mbali
hahahahaaa na lipuli ya iringa
hahah kweli umenikumbusha mbali
Huo ni uchonganishi sasa.Dah haya matusi makubwa sana unamaanisha Rejao ni 'Mbuzi Choma' coz yeye ndio mpenzi wa Cantalisia
Please watake radhi haraka Bishanga
We Cantalisia unataka kusema mnavyokuja kunichuna na hilo buzi lako Rejao ndo kampani mnayonipa? Kampani au hasara? Manina wallah
With immediate effect Cantalisia and Rejao are strictly prohibited to be seen around Fyatanga Zone.Wapige PI wasikanyage fyataga.
Hee hee hee hee,With immediate effect Cantalisia and Rejao are strictly prohibited to be seen around Fyatanga Zone.
Imetolewa na Idara ya Usalama wa Fyatanga.
Asprin naomba ufafanuzi wa Fyatanga ZoneWith immediate effect Cantalisia and Rejao are strictly prohibited to be seen around Fyatanga Zone.
Imetolewa na Idara ya Usalama wa Fyatanga.
Boko ya Daslamu au Boko wapi?Fyatanga ndo hyatt/kempinski ya eneo zima la boko.
Teh teh FirstLady1 ni mbali sana aisee lolhahah kweli umenikumbusha mbali
Hahahahaaaaa kumbe ni Boko haramu lolSasa mbona unaelekea tena kwenye boko haram,ni boko bako bana,bi o kei oooooooooooo
Ndio eneo pekee kuanzia Tegeta mpaka Bunju ambalo mbuzi wakipita karibu nalo lazima waangalie kibla na kupiga kelele wakihofia kufa kwa upanga...... Jamaa wamezaliwa kwa ajili ya kazi moja tu: Kuchinja na kuchoma mbuzi... Manina zao wallah!Asprin naomba ufafanuzi wa Fyatanga Zone
Ndio eneo pekee kuanzia Tegeta mpaka Bunju ambalo mbuzi wakipita karibu nalo lazima waangalie kibla na kupiga kelele wakihofia kufa kwa upanga...... Jamaa wamezaliwa kwa ajili ya kazi moja tu: Kuchinja na kuchoma mbuzi... Manina zao wallah!
Magari yanajaa hapo utadhani nyama wanagawa bure.