Amekuwa issa michuzi? Yeye ndo aliwahi kutangaza kwenye blog yake kuwa yeye ni dc wa tegeta.
Hahahahahaaaa maelezo nimeyaelewa ila umemalizia hapo kwa kunivunja mbavu.....Hapo kwenye BoldNdio eneo pekee kuanzia Tegeta mpaka Bunju ambalo mbuzi wakipita karibu nalo lazima waangalie kibla na kupiga kelele wakihofia kufa kwa upanga...... Jamaa wamezaliwa kwa ajili ya kazi moja tu: Kuchinja na kuchoma mbuzi... Manina zao wallah!