GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,133
Na kuna Timu moja hapa Afrika licha ya kuwa inacheza Mpira wa uhakika, ni Tajiri wala haitegemei Kuuza Godoro la kuumiza Migongo
Ina Wachezaji ambayo Bajeti yao ni Bajeti ya Miaka 10 ya Majini Baharini FC lakini pia hata Kiuchawi pia wako vyema ile mbaya ukizingatia kuwa hata nchini Kwao ndiyo kuna Chuo Kikuu pekee ya Uchawi / Sangoma.
Safari imefika mwisho Kudadadeki!!!
Ina Wachezaji ambayo Bajeti yao ni Bajeti ya Miaka 10 ya Majini Baharini FC lakini pia hata Kiuchawi pia wako vyema ile mbaya ukizingatia kuwa hata nchini Kwao ndiyo kuna Chuo Kikuu pekee ya Uchawi / Sangoma.
Safari imefika mwisho Kudadadeki!!!