troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,430
- 2,264
Putin hanaga upumbavu kama huoHivi putin nae ameenda kwenye msiba?
Putin hanaga upumbavu kama huoHivi putin nae ameenda kwenye msiba?
Pumbavu SanaNimeona Mitandaoni hapa nchini kwetu, baadhi ya watu wakitoa maoni yao kuhusu viongozi wa Africa na usafiri walioutumia walipokuwa wanaelekea eneo la msiba wa Malkia Elizabeth.
Mwanzoni nilifikiri ni Tanzania pekee lakini nimeona hata Kenya nao baadhi ya watu wanasema kwamba viongozi wa Africa wamedharauliwa akiwemo wa Rais wao William Ruto
Lakini Jambo ambalo watu wengi hawajui ni kwamba Kuna viongozi mbalimbali wa zaidi ya mataifa mia moja 100 duniani na kila kiongozi akiwa na msafara ni gharama kubwa sana. Pia ingelazimu Askari wengi zaidi kuhudumia misafara ya viongozi hao...
Pia viongozi kutoka Asia nao waliwekwa Gari la Pamoja.
Viongozi kutoka South America nao walikaa gari la pamoja
Baadhi ya viongozi wa Ulaya pia waliwekwa Gari la pamoja
Suala la kila Kiongozi kuwa na msafara wake binafsi ni
Kitu ambacho Serikali ya Uingereza ingekuwa vigumu kulitekeleza ndani ya Muda mfupi. Yangetakiwa yafanyike maandalizi ya miezi mitatu kabla.
Huyu ni Bill clinton Alivyokuja Tanzania akiwa tayari ni rais msataafu wa Marekani, alitumia Hiace kama usafiri wake na akaenda nayo mpaka ikulu na kukutana na Rais Kikwete wakati huo.
Kuna msemo Unasema Maskini akila Dagaa anaambiwa ni kwa sababu hana kitu lakini Tajiri akila Dagaa anaambiwa anaimarisha Afya.View attachment 2361548View attachment 2361547
View attachment 2361551
Hilo swali uliza Serikali ya UKPengine umejifunga mawazo hutaki kuuelewa uhalisia, in fact public opinion inaona viongozi wa kiafrica wamedharaliwa na wazungu, na comment zipo nyingi tu wala halina ubishi.
Na hoja kubwa ni why Biden ameruhusiwa kuwa na motorcade.
Futa huu upuuusi acha kutetea ujinga na dharau walizooneshwa viongozi wa nchi maskini
Nchi maskini kivipi wakati mwaka juzi tuliambiwa sisi ni matajiri na tungewapelekea mitumba na kuwakopesha?Zipo thread nyingi humu siyo lazima upendezwe na hii...
Kabla ya kujibu jambo ni vyema ukaelewa flow ya hoja. SimpleHilo swali uliza Serikali ya UK
Hizi hasira za nini? Wewe weusi wako haujapakwa masizi au ndiyo wale mnaojichubua muwe weupe pee na mjione bora sana.Ulikuwa na point ya maana sana lakini uwasilishaji wake ni mbovu mwafrica mwenzetu mweusi tiii uliyepakwa masizi pia.Akili za KiAfrica ni za kipumbav na kipuuz + inferiority complex , hao vibwengo na ngozi zao nyeusi kama wamepakwa masizi wanauthamani gani tofauti na wale WA Asia ,South America na Europe ambao kila continent walikuwa grouped kwenye gari moja moja ?
Mi nisingekubali kupanda hayo mabasi
Aisee hii comment nimecheka sanaKwanza mimi natamani wangewawekea classes kabisa wajione !! viongozi wa ulaya na bara la Asia wangewaruhusu wakawa na misafara ! Au special car hata kama ni moja
Halafu waafrica wawaweke kwenye Yutong moja tu lijae , Bi mkubwa akose nafasi !! Ruto ashikilie Bomba ! Kagame aambiwe gari limejaa tutakufata trip nyingine subiri kituoni!!
Wakifika kwenye utambulisho viongozi wa ulaya waitwe wahutubie au wasimamishwe mmoja mmoja kwa heshima !! Wakifika kwa Waafrica wawasimamishe wote kwa pamoja wapunge mikono wakae chini !!
Baada ya hapo hakuna vyombo vya habari kuwahoji sijui BBC , Aljazeera ,CNN labda kama walibeba TBC yao
Kwenye kukaa wawekwe kwenye jukwaa lao peke yao wasije kuambukiza ufisadi na ujinga kwa viongozi !!
Kwanza hata kwenye mapokezi wangewatumia wakuu wa wilaya na wakurungezi ndo wakawapokea (kama wapo Ulaya) au watendaji wa kata.
ndo wataacha kuzurura kama asiye na kwao
Kwanza leo nimeweka vocha ya buku , voda wakakata mia mbili bila hata sababu !!
Kwani tangu lini nchi tajiri ziliwahi kuiheshimu Afrika na viongozi wake???!! Since when?! Huoni hata Bomba la mafuta from Uganda to Tanzania wazungu 'wameshauri' tuachane nalo?!?! We Africans we are nothing to them...sawa Ndugu zangu?!?!Futa huu upuuusi acha kutetea ujinga na dharau walizooneshwa viongozi wa nchi maskini
Dada kumbe upo na huku?!?!😂🤣Hizi hasira za nini? Wewe weusi wako haujapakwa masizi au ndiyo wale mnaojichubua muwe weupe pee na mjione bora sana.Ulikuwa na point ya maana sana lakini uwasilishaji wake ni mbovu mwafrica mwenzetu mweusi tiii uliyepakwa masizi pia.
😀😀 mkuu hawa viongozi basi tu ila wanatuumizaAisee hii comment nimecheka sana
Hawapaswi hata kupewa heshima , hawastahili kabisa !! Wapo ambao walipewa heshima hadi leo inaishi ! Ila hawa wengine hawastahiliKwani tangu lini nchi tajiri ziliwahi kuiheshimu Afrika na viongozi wake???!! Since when?! Huoni hata Bomba la mafuta from Uganda to Tanzania wazungu 'wameshauri' tuachane nalo?!?! We Africans we are nothing to them...sawa Ndugu zangu?!?!
Sasa mkuu watahutubia nini , wakipewa tu nafasi kuhutubiaNatamani kujua vip viongozi wetu wameweza kupewa nafasi ya kuhutubia?
Nimecheka sanaNikikutana na muingereza namlabua vibao kwa kumuaibisha rais wetu
Pumbavu kabisa. Rais mstaafu ni functus officioNimeona mitandaoni hapa nchini kwetu, baadhi ya watu wakitoa maoni yao kuhusu viongozi wa Afrika na usafiri walioutumia walipokuwa wanaelekea eneo la msiba wa Malkia Elizabeth.
Mwanzoni nilifikiri ni Tanzania pekee lakini nimeona hata Kenya nao baadhi ya watu wanasema kwamba viongozi wa Africa wamedharauliwa akiwemo wa Rais William Ruto.
Lakini jambo ambalo watu wengi hawajui ni kwamba kuna viongozi mbalimbali wa zaidi ya mataifa mia moja Duniani na kila kiongozi akiwa na msafara ni gharama kubwa sana. Pia ingelazimu Askari wengi zaidi kuhudumia misafara ya viongozi hao...
Pia viongozi kutoka Asia nao waliwekwa gari la pamoja.
Viongozi kutoka South America nao walikaa gari la pamoja.
Baadhi ya viongozi wa Ulaya pia waliwekwa gari la pamoja
Suala la kila kiongozi kuwa na msafara wake binafsi ni iitu ambacho Serikali ya Uingereza ingekuwa vigumu kulitekeleza ndani ya Muda mfupi. Yangetakiwa yafanyike maandalizi ya miezi mitatu kabla.
Huyu ni Bill Clinton alivyokuja Tanzania akiwa tayari ni Rais mstaafu wa Marekani, alitumia Hiace kama usafiri wake na akaenda nayo mpaka Ikulu na kukutana na Rais Kikwete wakati huo.
Kuna msemo Unasema Maskini akila Dagaa anaambiwa ni kwa sababu hana kitu lakini Tajiri akila Dagaa anaambiwa anaimarisha Afya.View attachment 2361548View attachment 2361547
View attachment 2361551
Umeelezea vyemaNimeona mitandaoni hapa nchini kwetu, baadhi ya watu wakitoa maoni yao kuhusu viongozi wa Afrika na usafiri walioutumia walipokuwa wanaelekea eneo la msiba wa Malkia Elizabeth.
Mwanzoni nilifikiri ni Tanzania pekee lakini nimeona hata Kenya nao baadhi ya watu wanasema kwamba viongozi wa Africa wamedharauliwa akiwemo wa Rais William Ruto.
Lakini jambo ambalo watu wengi hawajui ni kwamba kuna viongozi mbalimbali wa zaidi ya mataifa mia moja Duniani na kila kiongozi akiwa na msafara ni gharama kubwa sana. Pia ingelazimu Askari wengi zaidi kuhudumia misafara ya viongozi hao...
Pia viongozi kutoka Asia nao waliwekwa gari la pamoja.
Viongozi kutoka South America nao walikaa gari la pamoja.
Baadhi ya viongozi wa Ulaya pia waliwekwa gari la pamoja
Suala la kila kiongozi kuwa na msafara wake binafsi ni iitu ambacho Serikali ya Uingereza ingekuwa vigumu kulitekeleza ndani ya Muda mfupi. Yangetakiwa yafanyike maandalizi ya miezi mitatu kabla.
Huyu ni Bill Clinton alivyokuja Tanzania akiwa tayari ni Rais mstaafu wa Marekani, alitumia Hiace kama usafiri wake na akaenda nayo mpaka Ikulu na kukutana na Rais Kikwete wakati huo.
Kuna msemo Unasema Maskini akila Dagaa anaambiwa ni kwa sababu hana kitu lakini Tajiri akila Dagaa anaambiwa anaimarisha Afya.View attachment 2361548View attachment 2361547
View attachment 2361551