mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,749
- 37,357
Hata wangepandishwa kwenye chai maharage sawa tu.
Kwani wao wana nini cha tofauti na raia wengine?
hizi ni hasira tu za kupigika mkuu.
ila wale ni marais wa nchi.
Hata wangepandishwa kwenye chai maharage sawa tu.
Kwani wao wana nini cha tofauti na raia wengine?
Aliyapakia kwenye ndege yake na kwenda nayo but nani mwingine alikuwa na uwezo wa jeti yenye uwezo huo?.Iweje akina Biden wapokelewe kwa magari yao maalum!!
HATA HAPA TANZANIA KUNA TUKIO LA KITAIFA (NIMESAHAU) MARAIS KADHAA WALISAFIRI KWA COASTER TOKA AIRPORT TO IKULU. MASKINI AKIPATA MATAKO ULIA MBWATA, YAANI MNAONA MISAFARA NI UTUKUKUFU WAKATI KUNA WAZIRI MKUU MMOJA NCHI ZA ULAYA ALIKUWA ANAENDA OFISINI KWA BAISKELI
Kwani nani amesema wale ni wafagiaji wa barabara?hizi ni hasira tu za kupigika mkuu.
ila wale ni marais wa nchi.
Ilishwahi kutokea nadhani wakati wa kuapishwa kwa JK au sikukuu ya Uhuru nao walijazwa kwenye coaster kama wako kwenye banda la njiwaHapa kwetu mabalozi wa nje ndiyo wanapakiwa kwenye na bus wakiwa wanaenda uwanja wa uhuru kushuhudia gwaride