Nchi yetu ina fursa nyingi za kuwekeza,nyingine ni rahisi na nyingine ngumu kidogo kwa sababu ya kutojua. Kuna biashara hii ya beach plots, kwa sasa inakwenda kimya kimya sana,lakini ni biashara nzuri sana kwa siku za usoni.
Wakati nataka kujua nini kinaendelea pale Mbamba Bay beach, nimeshitushwa na taarifa kuwa wakuu wa Yerusalem wameshalamba viwanja vyote vya pale Mbamba Bay, nikageuza kibao ili nigeukie Kilwa, nikaambiwa Kilwa yote kwishney, labda nichukue beach yenye coral reefs, lakini bado zipo beach nzuri ambazo hazijaguswa.
Jamani tusilale na kuwaachia kila kitu kana kwamba sisi hatuna uwezo.
Wakati nataka kujua nini kinaendelea pale Mbamba Bay beach, nimeshitushwa na taarifa kuwa wakuu wa Yerusalem wameshalamba viwanja vyote vya pale Mbamba Bay, nikageuza kibao ili nigeukie Kilwa, nikaambiwa Kilwa yote kwishney, labda nichukue beach yenye coral reefs, lakini bado zipo beach nzuri ambazo hazijaguswa.
Jamani tusilale na kuwaachia kila kitu kana kwamba sisi hatuna uwezo.