Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
SADIST kwa tafrisi rahisi ni mtu anayefurahia mambo mabaya na kupata faraja bila kufaidika lolote.
Nchi yetu imeanza kuwa na kuwa na Masadist, Baadhi yao unaweza kuwahurumia kwa background yao ya ajabu ya nyuma kama Mbunge wa Chadema Arusha Godbless Lema.
Lakini wapo wanaolialia kwa kukosa walichotamani au kujipanga kuwa kama yule binti aliyekuwa zamani mkaa uchi Maria Sarungi na mwenzake mmbea wa asili (historia ya tangu mdogo inaonesha hivyo) Fatma Karume.
Yapo masadist mengine ukiyatazama unaweza kusema labda ni siasa kusema ni kiki za kisiasa, Yes ila pia mtu kama Zitto Kabwe ni zaidi ya hapo. Hivi karibuni alikwenda Ujerumani, unajua alifuata nini?Endelea kunifuatilia.
Sadist mmoja Kubenea yeye katulia. Tangu akosee alipoona Bombardier inamwagiwa maji akadhani ni engine mbovu kapata vidonge kapona.
Sasa masadist wetu hawana kosa ni maradhi haya, Jana Lema alifurahia kuanzia kusikia Dreamliner inafanyiwa routine check (bila kujua siku hiyo hiyo ndege 4 za KQ na za Etgiopia tena mpya zilikuwa ktk hali hiyo ya kawaida na abira kubadilishiwa ndege pale Bole Airport na Nairobi).
Lema tena akaonekana kushabikia nchi yake kuzushiwa na Balozi wa Marekani alikeyekaa kwake akipata bia na kisha kuibuka kujifanya mjuvi wa uchaguzi.
Kuna dogo anaitwa Malisa naye ndio mfano wa vizazi vilivyoharibiwa na kina Mbowe na Lema.
Maradhi ya usadist yanazidi kumwandama. Tumewaambia marafiki zake wamwahi na vidonge haraka la sivyo watampoteza wanamuona.
Anajifanya kutetea demokrasia mbona halaani Mmwenyekiti wake wa Chadema kukaa miaka 20 madarakani?Mbona hazungumzii tuhuma za Mbowe kuhusika na.kupotea Chacha Wangwe na akina Saanane?Huyu anajifunza kuwa sadist.
Watanzania tukatae hawa masadist: ambao hawajulikani wanataka nini hasa kwa nchi hii.
Rushwa ikikithiri wanalalama, ikipigwa vita wanalalamika. ATCL ilipokuwa haina ndege walilalamika, inaletewa ndege wanalalamika.
Tusijenge Taifa la Walalamikaji.Tujenge taifa la wanaoona mema ya nchi yao na wanaokosoa panapostahili.
Tuwakate masadist kwani wao hawana jema au baya; wanafurahia tu kizandiki nchi yao ikizodolewa, ikisemwa, ikitokewa na changamoto yoyote.
Nchi yetu imeanza kuwa na kuwa na Masadist, Baadhi yao unaweza kuwahurumia kwa background yao ya ajabu ya nyuma kama Mbunge wa Chadema Arusha Godbless Lema.
Lakini wapo wanaolialia kwa kukosa walichotamani au kujipanga kuwa kama yule binti aliyekuwa zamani mkaa uchi Maria Sarungi na mwenzake mmbea wa asili (historia ya tangu mdogo inaonesha hivyo) Fatma Karume.
Yapo masadist mengine ukiyatazama unaweza kusema labda ni siasa kusema ni kiki za kisiasa, Yes ila pia mtu kama Zitto Kabwe ni zaidi ya hapo. Hivi karibuni alikwenda Ujerumani, unajua alifuata nini?Endelea kunifuatilia.
Sadist mmoja Kubenea yeye katulia. Tangu akosee alipoona Bombardier inamwagiwa maji akadhani ni engine mbovu kapata vidonge kapona.
Sasa masadist wetu hawana kosa ni maradhi haya, Jana Lema alifurahia kuanzia kusikia Dreamliner inafanyiwa routine check (bila kujua siku hiyo hiyo ndege 4 za KQ na za Etgiopia tena mpya zilikuwa ktk hali hiyo ya kawaida na abira kubadilishiwa ndege pale Bole Airport na Nairobi).
Lema tena akaonekana kushabikia nchi yake kuzushiwa na Balozi wa Marekani alikeyekaa kwake akipata bia na kisha kuibuka kujifanya mjuvi wa uchaguzi.
Kuna dogo anaitwa Malisa naye ndio mfano wa vizazi vilivyoharibiwa na kina Mbowe na Lema.
Maradhi ya usadist yanazidi kumwandama. Tumewaambia marafiki zake wamwahi na vidonge haraka la sivyo watampoteza wanamuona.
Anajifanya kutetea demokrasia mbona halaani Mmwenyekiti wake wa Chadema kukaa miaka 20 madarakani?Mbona hazungumzii tuhuma za Mbowe kuhusika na.kupotea Chacha Wangwe na akina Saanane?Huyu anajifunza kuwa sadist.
Watanzania tukatae hawa masadist: ambao hawajulikani wanataka nini hasa kwa nchi hii.
Rushwa ikikithiri wanalalama, ikipigwa vita wanalalamika. ATCL ilipokuwa haina ndege walilalamika, inaletewa ndege wanalalamika.
Tusijenge Taifa la Walalamikaji.Tujenge taifa la wanaoona mema ya nchi yao na wanaokosoa panapostahili.
Tuwakate masadist kwani wao hawana jema au baya; wanafurahia tu kizandiki nchi yao ikizodolewa, ikisemwa, ikitokewa na changamoto yoyote.