Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Sawa kwa hiyo tukisema hapendwi na Wananchi tutakuwa sahihiNi ujinga kunilazimisha eti Samia ni Rais wa kupigiwa kura!
Samia alikuwa msaidizi wa Hayati Magufuli ambaye ndiye aliyepigiwa kura za Watanzania kuwa Rais.
Lakini baada ya kifo cha Magufuli kikatiba makamu wake ndiye aliyepaswa kuwa mkuu wa Nchi. IELEWEKE,NI KWA MUJIBU WA KATIBA na si kwa MUJIBU WA WAPIGA KURA.
Kwa muktadha huo si sahihi kusema Samia ni Rais aliyepigiwa kura bali ni Rais ALIYEPO MADARAKANI KWA MUJIBU WA KATIBA na huo ndiyo ukweli.