Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,632
Mtoa mada ameweka maandishi ya kutukumbusha nashangaa watu wanaompinga eti ooh Mungu ni wa huruma mara usihukumu..... Hivi kuhukumu maana yake nini?
Kama hali ndio hii bas hata kanisani hatutakiwi kwenda maana ni nani aliye msafi kama Mungu? Mwenye ujasiri wa kusimama na kukemea uovu. Ndio Mungu ni wa huruma lakini ni huyohuyo ndo amesema kila alitajaye jina lake na auache uovu..... Tena anasema 'lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia,mtu aliye mnyonge,mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu'. Tu wenye dhambi.......lakini tusing'ang'anie kutenda uovu kwa sababu Mungu anasamehe.
Kama hali ndio hii bas hata kanisani hatutakiwi kwenda maana ni nani aliye msafi kama Mungu? Mwenye ujasiri wa kusimama na kukemea uovu. Ndio Mungu ni wa huruma lakini ni huyohuyo ndo amesema kila alitajaye jina lake na auache uovu..... Tena anasema 'lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia,mtu aliye mnyonge,mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu'. Tu wenye dhambi.......lakini tusing'ang'anie kutenda uovu kwa sababu Mungu anasamehe.