mshana jr, nilidhani unamaanisha tusidhihaki dini... Dhana ya uungu haiwakilishwi na dini ambazo hata hivyo msingi wake ni tamaa ya kibanadamu ya kutamalaki na hata maisha ya taasisi za dini yamefuata mrengo huo!
Dini za Wageni ni utumwa!
Una heri....maana roho yako imepondeka
kwa kuwa una moyo safi tembea uchi basi. Au vaa gauni kama ww ni mwanaume
Huyu nayeee!!!!!!!!.