Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,279
- 832,324
Mungu wetu si Mungu wa dhihaka wala maskhara na ndio maana tunaambiwa katika maandiko matakatifu kuwa Mungu hadhihakiwi
Kuna baadhi ya watu kwa kujua au kutojua wanafanya mambo ambayo kwa kiasi kikubwa ni dhihaka kwa Mungu na ni kujitafutia laana na mikosi mifano hii hapa
-unavaa mavazi rasmi ya dini ya kiislam halafu unakaa bar unakunywa pombe au unatoka gesti kufanya ufuska
-Unavaa Rosary halafu unaenda kufanya uzinzi na rosery ikiwa inaning'inia shingoni
-unavaa rosary shingoni kiunoni una hirizi
- Unaweka sticker kwenye hadi yako GARI HII INALINDWA KWA DAMU YA YESU ilhali unayoyafanya ndani ya hayo gari ni chukizo mbele za macho ya Mungu
-Nyumba au biashara yako kuweka pia sticker ya NYUMBA HII INALINDWA KWA DAMU YA YESU wakati huohuo una mazindiko kibao ya kichawi
- kwenye memory card, flash, Simu, ipad computer nk una nyimbo za dini na picha za dini lakini wakati huohuo una picha na video kibao za ngono
- unaweka ringtone wimbo wa dini lakini mazungumzo yako ni dhambi tupu
- unaweka msg ringtone ya dini lakini msg zako ni uchafu mtupu
Nk nk nk
Laana nyingine tunazitafuta wenyewe tuwe na mipaka na tusichanganye mambo yahusuyo Mungu na mambo ya kidunia tutaangamia
Kuna baadhi ya watu kwa kujua au kutojua wanafanya mambo ambayo kwa kiasi kikubwa ni dhihaka kwa Mungu na ni kujitafutia laana na mikosi mifano hii hapa
-unavaa mavazi rasmi ya dini ya kiislam halafu unakaa bar unakunywa pombe au unatoka gesti kufanya ufuska
-Unavaa Rosary halafu unaenda kufanya uzinzi na rosery ikiwa inaning'inia shingoni
-unavaa rosary shingoni kiunoni una hirizi
- Unaweka sticker kwenye hadi yako GARI HII INALINDWA KWA DAMU YA YESU ilhali unayoyafanya ndani ya hayo gari ni chukizo mbele za macho ya Mungu
-Nyumba au biashara yako kuweka pia sticker ya NYUMBA HII INALINDWA KWA DAMU YA YESU wakati huohuo una mazindiko kibao ya kichawi
- kwenye memory card, flash, Simu, ipad computer nk una nyimbo za dini na picha za dini lakini wakati huohuo una picha na video kibao za ngono
- unaweka ringtone wimbo wa dini lakini mazungumzo yako ni dhambi tupu
- unaweka msg ringtone ya dini lakini msg zako ni uchafu mtupu
Nk nk nk
Laana nyingine tunazitafuta wenyewe tuwe na mipaka na tusichanganye mambo yahusuyo Mungu na mambo ya kidunia tutaangamia