Tusimame kama Taifa tuiambie Canada walete ndege yetu!

Tusimame kama Taifa tuiambie Canada walete ndege yetu!

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,948
Reaction score
9,464
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
 
Kama kuna deni na mkataba ulitiwa sahihi lilipwe.
Au yaweza kua propaganda tu kumbe ndege ipo inakuja kama kawaida.
Uzalendo sio kufurahia dhulumu za namna hii. Kesho kampuni yako ikidhulumiwa utafanyeje?
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller

Mi nadhani cha Muhimu ni kuwahimiza Watanzania tulipe kodi kwa nguvu na polisi wakazane sana kupiga faini ili tuweze kukusanya pesa za kulipa deni

DAWA YA DENI NI KULIPA TU
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
Unavyojipanga kusimama kama taifa kutetea masilahi yako, na wa-canada nao wanasimama kama taifa kutetea watu wao dhidi ya dhuluma.
 
Canada inajiingiza katikati ya mgogoro wetu na wakwepa kodi!
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
Stop nonsense, LIPA DENI
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller

Nenda ukaandamane Canada kudai ndege yenu
 
Deni lilikuwa 40bn sasa ni 87 endelea kubwabwaja majukwaani kutudanganya wadanganyika kuwa ww upo juu ya sheria ....................... Na bado
 
Mi nadhani cha Muhimu ni kuwahimiza Watanzania tulipe kodi kwa nguvu na polisi wakazane sana kupiga faini ili tuweze kukusanya pesa za kulipa deni

DAWA YA DENI NI KULIPA TU
Tetetetrt


Swissme
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
Wazo zuri sana
lakini ninasikitika ku ukumbuka umoja pale tu penye matakwa yako yanapogonga mwamba
kwa mtazamo wangu unapohitaji umoja usiache kupiga vita ubaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Onesha mfano basi! Tangulia ubalozini pale na familia yako yote mkiwa na mabango yenu...
 
Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
Nashauri ili kuonesha mshikamano wa nchi serikali ianzishe kodi ya kichwa kama mkoloni mjerumani ili mapato ya Jamhuri yaongezeke na madeni ya nchi yalipwe.

Magu kamua babaaa kamua hadi waseme pooo hasa wale wateja wa kijani na njano
 
Mbna kodi mnatudai kwenye vibanda vyetu
Yaan saiv tunanuka shida sababu ya kodi

Sasa nyie km mlifanya bila kufuata sheria mtaelewa nn maana ya sheria

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Back
Top Bottom