Mkuu sasa unaonekana hauna hoja umeanza kwa kutukana nakama ulikuwa unasoma na kuelewa ungeona niliposhauri kufata chanel siyo unakurupuka hapa penyewe hatujuani umekurupuka umenitukana nikikuita nyumbu utanikasirikia??kwa ukurupukaji huu wengi wenu ndiyo maana mnavunja sheria polisi wanawatuliza mnasema mnaonewa ona sasa!!Mleta mada acha upumbav umoja wa kitaifa ni upi kama wengine wanafanya mikutano wengine hapana we mpuuz nini
Hapo sasa Hawa Vijana Wa Lumumba Uzalendo kwao ni katika kuunga mkono kila Upuuzi wa upande wao.uonevu umezidi sana mkuu...leo mfanyakazi wa sekta binafsi ukipoteza kazi unakufa...Mifuko ya jamii haitaki kutupatia fedha zetu...Nini maana ya social security....maana yake ni Wazee security?
Ndege hata ikija utaipanda,Acha kibaki huko huko tuNimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.
Samsung SH 8 Mobile Traveller
Rudini kwenu..au tukinukisheNashauri ili kuonesha mshikamano wa nchi serikali ianzishe kodi ya kichwa kama mkoloni mjerumani ili mapato ya Jamhuri yaongezeke na madeni ya nchi yalipwe.
Magu kamua babaaa kamua hadi waseme pooo hasa wale wateja wa kijani na njano
Hamna ujanja kondoo tu nyie. Mpo kama mnapelekwa machinjioni na hamuwezi kufurukutaRudini kwenu..au tukinukishe
Wakati mnaingia na kuvunja mkataba uliotufikisha hapa tulikuwa pamoja?na kama siyo lazima serekali kuwasikiliza huo umoja mnaomba kwa ajili ya nini?.lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize
Kabla ya kuwaambia hivyo Canada tunapaswa kuweka Unafiki Pembeni na kuwaambia Serikali ya CCM iache kuidalalia nchi kipumbavu! Viongozi waache maamuzi ya kipumbavu yanayoligharimu Taifa! Ni vema wakasikiliza Ushauri hususani wa Wapinzani! Kujitapa hapa kuwa Serikali ina Washauri wake unadhani Serikali zilizoingia mikataba mibovu Juu ya Rasilimali zetu hazikuwa na Washauri wake? Leo tunapambana na nini? Ni Upumbavu na Udikteta kutowasikiliza Wananchi unaowaongoza, hata kama sii wa Chama chako! Ni maiti tu asiepokea Ushauri Mbadala!Nimemaliza kama kichwa cha habari,kinavyoelezea
Wanapuuzi wanabeza lakini kama nchi tuwe na umoja na silazima serikali iwasikilize maneno ya wapinga umoja,serikali inawashauri wake wanatosha ikiitajika kufanya hivyo itafanya ila sikwakushinikizwa.
Tanzania yetu,mshikamono wetu ndiyo nguzo yetu.
Samsung SH 8 Mobile Traveller
Unapaswa kujiuliza nini kimetufikisha hapo! Hayo Mambo sijui ya Ombwe ni blah blah tu! Viongozi wamelipasua Taifa, unategemea nini? Huu mpasuko haujaletwa na Wacanada wala sii wa Leo, na ni hao Viongozi ndio waliouleta! Hatutakaa tusimame pamoja ilihali mnatubagua na kutugawa! Yawapasa kufanya hesabu zenu vizuri Juu ya kila move mnayoifanya!Nimesoma komenti zenu nimeona kama taifa vijana kwa wazee tuna ombwe ya uzalendo swala la kitaifa tunatakiwa kuwa kama wamarekani wanatanguliza umarekani ila susi tunatanguliza uccm,uchadema,uact na ucuf and etc
Samsung SH 8 Mobile Traveller
Absolutely rightUnavyojipanga kusimama kama taifa kutetea masilahi yako, na wa-canada nao wanasimama kama taifa kutetea watu wao dhidi ya dhuluma.