Tusijidanganye, kwa aina ya uongozi na mifumo ya nchi hii, kamwe hatuwezi kuwa hata karibu na Ulaya

fenestra rotunda

JF-Expert Member
Jun 18, 2015
608
614
Hilo lipo wazi, ukiangalia ulaya ulivyo unaweza ukastaajabu na kujiuliza tunakosea wapi. Designers wetu wa miundombinu na mipango miji sielewi huwa wanatoa wapi mifano ya kazi zao.

Hapa chini ni highway za uholanzi,unaweza kuota kuna gap kubwa saana kati ya commuters wanaoenda na wanaorudi tofauti na barabara zetu ambazo tunapishana kiasi kwamba ukikosea kidogo tuu umemgonga mwenzio au kuondoka na site mirrors zake.

Pia hamna ule msongamano wa makazi ya watu wanaosogea barabarani mathalan chalinze pale,yani barabara zimeachwa zipumue.Kwa design hii kweli ajali ya kugongana uso kwa uso au kisa overtaking zitoke wapi?


images (10).jpeg
images (9).jpeg
images (6).jpeg
images (7).jpeg
images (11).jpeg
images (8).jpeg

Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi??IShu sio tuu kuwa na barabara za lami bali barabara zenye hadhi na viwango vya kimataifa ili tusirudi tena kuyafanyia matengenezo kila baada ya mda mfupi.

Hapa ni marekani,angalia barabara ilivyoachwa ipumue,lakini pia angalia intersections zimejengwa mpaka huko interior ili tuu kufanya usafiri uwe salama zaidi.Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi hata huko mikoani penye sehemu nyingi tuu za intersection?
images (19).jpeg
images (21).jpeg
images (15).jpeg
images (17).jpeg

Lakini cha mwisho tuangalie makazi yao hao tunaotaka kuwa kama wao ndani ya miaka mitano ijayo. Kuna nafasi kubwa kati ya barabara na nyumba na pia kuna lane kwa ajili ya waenda kwa miguu. Huku kwetu inapoishia ukuta wa nyumba ndo inapoanzia barabara kiasi kwamba ni rahisi watoto wa mtaa huo au hata wapita njia kugongwa na gari au pikipiki. Pia ni kuchafu hatari,taka zimetupwa hovyo,nnzi kila sehemu, hamna hata dustbin mtaani,makelele ndo usiseme.
Sijaelewa kwa nini designs za miji kama dodoma na kwingineko walifeli kuweka design kama hizi kwenye makazi ya watu.
images (1).jpeg
images (5).jpeg
images (3).jpeg
images (4).jpeg
images (2).jpeg
 

Attachments

  • images (18).jpeg
    images (18).jpeg
    8 KB · Views: 1
  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    8.1 KB · Views: 1
  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    40.5 KB · Views: 1
  • images (20).jpeg
    images (20).jpeg
    20 KB · Views: 1
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    45.2 KB · Views: 1
watu wanaanza nyinyi mnabeza masaa 24.

ulaya haikukurupuka tu mwaka jana mwaka huu ikajikuta ilipo leo, unayo yaona yana misingi hata miaka 400 iliyopita.
 
Kwenye hizo junction za barabara ungeona wazee wa mafrem washafyatua vifrem chizi au machinga wameweka nguo.
 
Wewe unatamani kuwa wao, mpenda vya wenzio! siyo sisi! elewa binadamu wana vipaji tunatofauti kubwa sana, tatizo wewe unaleta uafrica wako wa kuigaiga mambo! hatutaki kuwa km wao hivi vya kwetu ndivyo tulivyo. usijikatae! jikubali kwanza ili utoe kitu tofauti na wao!

Wao leo wako vile wanawaza kitu tofauti na unavoona leo, ukiwaiga leo! kesho wako kivingine pazuri zaidi ya jana, sijui utaiga tena au? utajikuta wewe ni mtu wa kuiga iga tu hadi kifo, mwishowe unawakodi wakufanyie ubora km wao, unawalipa hela nyingi, tayari wewe ni bwege mtozeni wao! acha gizo!
 
Wewe unatamani kuwa wao, mpenda vya wenzio! siyo sisi! elewa binadamu wana vipaji tunatofauti kubwa sana, tatizo wewe unaleta uafrica wako wa kuigaiga mambo! hatutaki kuwa km wao hivi vya kwetu ndivyo tulivyo. usijikatae! jikubali kwanza ili utoe kitu tofauti na wao!

Wao leo wako vile wanawaza kitu tofauti na unavoona leo, ukiwaiga leo! kesho wako kivingine pazuri zaidi ya jana, sijui utaiga tena au? utajikuta wewe ni mtu wa kuiga iga tu hadi kifo, mwishowe unawakodi wakufanyie ubora km wao, unawalipa hela nyingi, tayari wewe ni bwege mtozeni wao! acha gizo!
Wew nawe umekwenda shule sijui?????? Ndo umejibu nini kuna viwavi hamfai hata kupumua duniani hapa ni mwendo wa risasi tu.
 
Waafrica imarisheni barabara ya bomba la mianzi, linaloendana na mazingira yetu kwanza zina vutia, gari inakula mafuta kidogo, linadumu miaka 1000, linatunza mazingira,
huchukua nafasi ndogo na salama kwa watumiaji, haina ajali, Ujenzi rahisi, inabadlidhwa kirahisi vifaa vingi vya ukarabati vipo, haina joto la maudhi, ni nzuri kwa wapita njia, kadiri inavotumika na watu, magari inazalisha nguvu ya umeme, majumbani,

pia inavuta maji na kumwagilia maua , bustani za jirani mwaka mzima. faida ni nyingi kuliko hasara.
 
Hilo lipo wazi, ukiangalia ulaya ulivyo unaweza ukastaajabu na kujiuliza tunakosea wapi. Designers wetu wa miundombinu na mipango miji sielewi huwa wanatoa wapi mifano ya kazi zao.

Hapa chini ni highway za uholanzi,unaweza kuota kuna gap kubwa saana kati ya commuters wanaoenda na wanaorudi tofauti na barabara zetu ambazo tunapishana kiasi kwamba ukikosea kidogo tuu umemgonga mwenzio au kuondoka na site mirrors zake.

Pia hamna ule msongamano wa makazi ya watu wanaosogea barabarani mathalan chalinze pale,yani barabara zimeachwa zipumue.Kwa design hii kweli ajali ya kugongana uso kwa uso au kisa overtaking zitoke wapi?


View attachment 1561256View attachment 1561257View attachment 1561258View attachment 1561259View attachment 1561260View attachment 1561261
Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi??IShu sio tuu kuwa na barabara za lami bali barabara zenye hadhi na viwango vya kimataifa ili tusirudi tena kuyafanyia matengenezo kila baada ya mda mfupi.

Hapa ni marekani,angalia barabara ilivyoachwa ipumue,lakini pia angalia intersections zimejengwa mpaka huko interior ili tuu kufanya usafiri uwe salama zaidi.Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi hata huko mikoani penye sehemu nyingi tuu za intersection?
View attachment 1561272View attachment 1561275View attachment 1561278View attachment 1561277
Lakini cha mwisho tuangalie makazi yao hao tunaotaka kuwa kama wao ndani ya miaka mitano ijayo. Kuna nafasi kubwa kati ya barabara na nyumba na pia kuna lane kwa ajili ya waenda kwa miguu. Huku kwetu inapoishia ukuta wa nyumba ndo inapoanzia barabara kiasi kwamba ni rahisi watoto wa mtaa huo au hata wapita njia kugongwa na gari au pikipiki. Pia ni kuchafu hatari,taka zimetupwa hovyo,nnzi kila sehemu, hamna hata dustbin mtaani,makelele ndo usiseme.
Sijaelewa kwa nini designs za miji kama dodoma na kwingineko walifeli kuweka design kama hizi kwenye makazi ya watu.
View attachment 1561297View attachment 1561298View attachment 1561299View attachment 1561301View attachment 1561300
Kama tumeshindqa kutatua foleni za mwenye na ubungo tutaweza kuboresha barabara yoyote hapa nchini ?
 
Waafrica imarisheni barabara ya bomba la mianzi, linaloendana na mazingira yetu kwanza zina vutia, gari inakula mafuta kidogo, linadumu miaka 1000, linatunza mazingira,
huchukua nafasi ndogo na salama kwa watumiaji, haina ajali, Ujenzi rahisi, inabadlidhwa kirahisi vifaa vingi vya ukarabati vipo, haina joto la maudhi, ni nzuri kwa wapita njia, kadiri inavotumika na watu, magari inazalisha nguvu ya umeme, majumbani,

pia inavuta maji na kumwagilia maua , bustani za jirani mwaka mzima. faida ni nyingi kuliko hasara.
Barabara ya bomba la mianzi ndiyo barabara ya bamna gani?
Weka picha ama ufafanuzi wa kina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Charity begins at home. Wewe mazingira yako ya nyumbani yako vipi au nyumba yako. Pia sio Tanzania tu Bali hii east africa na nchi zingine inaonekana huwa DEVELOPMENT IS AHEAD OF PLANNING! planning as comes after development ndo maana ndg zetu wanabomolewa nyumba. Kikubwa kuliko ni LACK OF CREATIVITY angalia tu hata miji ninayokuwa ni aibu tupu
Hilo lipo wazi, ukiangalia ulaya ulivyo unaweza ukastaajabu na kujiuliza tunakosea wapi. Designers wetu wa miundombinu na mipango miji sielewi huwa wanatoa wapi mifano ya kazi zao.

Hapa chini ni highway za uholanzi,unaweza kuota kuna gap kubwa saana kati ya commuters wanaoenda na wanaorudi tofauti na barabara zetu ambazo tunapishana kiasi kwamba ukikosea kidogo tuu umemgonga mwenzio au kuondoka na site mirrors zake.

Pia hamna ule msongamano wa makazi ya watu wanaosogea barabarani mathalan chalinze pale,yani barabara zimeachwa zipumue.Kwa design hii kweli ajali ya kugongana uso kwa uso au kisa overtaking zitoke wapi?


View attachment 1561256View attachment 1561257View attachment 1561258View attachment 1561259View attachment 1561260View attachment 1561261
Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi??IShu sio tuu kuwa na barabara za lami bali barabara zenye hadhi na viwango vya kimataifa ili tusirudi tena kuyafanyia matengenezo kila baada ya mda mfupi.

Hapa ni marekani,angalia barabara ilivyoachwa ipumue,lakini pia angalia intersections zimejengwa mpaka huko interior ili tuu kufanya usafiri uwe salama zaidi.Tunashindwa nini kufanya barabara zetu ziwe hivi hata huko mikoani penye sehemu nyingi tuu za intersection?
View attachment 1561272View attachment 1561275View attachment 1561278View attachment 1561277
Lakini cha mwisho tuangalie makazi yao hao tunaotaka kuwa kama wao ndani ya miaka mitano ijayo. Kuna nafasi kubwa kati ya barabara na nyumba na pia kuna lane kwa ajili ya waenda kwa miguu. Huku kwetu inapoishia ukuta wa nyumba ndo inapoanzia barabara kiasi kwamba ni rahisi watoto wa mtaa huo au hata wapita njia kugongwa na gari au pikipiki. Pia ni kuchafu hatari,taka zimetupwa hovyo,nnzi kila sehemu, hamna hata dustbin mtaani,makelele ndo usiseme.
Sijaelewa kwa nini designs za miji kama dodoma na kwingineko walifeli kuweka design kama hizi kwenye makazi ya watu.
View attachment 1561297View attachment 1561298View attachment 1561299View attachment 1561301View attachment 1561300
 
Nyie kina nani?
Sisi ... wenye upeo, uelewa, wafadhiri wa AU, watoa maongozi wa Africa, wakati watawaliwa mnawaza ku-copy na ku-Paste vya wenzenu, sisi tunawaza tufanye kadha wa kadha Africa iwe Super smart tunashindana kivingine,

wazi huyu jamaa katoka kijijini kwenda kushangaa maisha ya weupe ambao wakiishi na nzi kidogo tu au mafua wanakufa.akiumwa na siafu, mbu analazwa!, misongamano km Manzese, k/koo, shida, kuangaziwa Jua mda mrefu...! wanazimia na kuumuka na kansa ya ngozi-Melanoma, sasa lazima wawe wasafi kupitiliza. kule kila mdudu anapata chanjo! mwafrica pia unataka iga ?

Wanaweka brbr pana ili waone kila mdudu anaekatiza kwa nafasi ili wahakikishe ana chanjo? km anaumwa analazwa Hospital ya wadudu. Ukitupa ganda la ndizi ovyo anazalisha saprophytes ambalo linaweza kuwa tatizo ulaya nzima! , Bird flue, tulidunda tu! Bovine virus- tulidunda tu! ndo tulikula nyama si kitoto, nchi pekee iliyochukua hatua ni S/Africa, Botswana, Msumbji nk hakufa mtu!

pia ni sawa wapande miti kuwapozea makali ya jua, pia kujitenga na wadudu! wanatamani maisha natural km ya Masai wa Serengeti hawawezi watakufa sababu ya low immunity! mleta mada anatamani bila kujua why? hajui wao na sisi ki- Human physical being ni tofauti. hawawezi tafuna bonge la muwa kwa meno! lazima alazwe!

Nyama zao lazima zisagwe kwa mashine, lkn sisi pale Reagent Estate Bar, Mapande ya ng'ombe, pork, mbuzi choma tunakata tu kwa mataya kama kawa jioniiii. wakitafuna mapande utacheka uzimie! lazima aharishe! ulisha waona wanajirusha na sisi? wako pale Namanga kibao kila siku wanakula vya kusagwa!

Wazi hapa nyumbani mleta mada hajawahi kuishi miji mizuri, kama Musoma ajionee, any way!!! ametoka kijijini ghafla! Baap! huyo! Ulaya kwa msaada wa SIDA, ndo maana ana madharau ya kiivo! ni shida kutamani kitu bila kujua, anaweza badili ngozi km Michael Jackson, but yeye hakusoma, hatuwezi kumlaum! hajui kuwa wanatutamani sana!
 
but yeye hakusoma, hatuwezi kumlaum! hajui kuwa wanatutamani sana!
Wewe uliyesoma hiyo elimu uliyosoma kaileta nani?
wakati watawaliwa mnawaza ku-copy na ku-Paste vya wenzenu, sisi tunawaza tufanye kadha wa kadha Africa iwe Super smart tunashindana kivingine,
Mmefikia wapi kuelekea Africa kuwa super smart?
Na mnatumia njia gani?
Sisi ... wenye upeo, uelewa
Kwenye nini mmeonyesha huo upeo na uelewa wenu?
 
Nilimsikia jamaa mmoja anasema akichaguliwa msimu ujao anataka Tanzania iwe kama ulaya, na mimi nikasema sawaaa kura yangu utapata baba, nani hataki kuishi ulaya....
 
Back
Top Bottom