Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,100
Wasalaam,
Kwenye hili la mkataba wa bandari kuna dalili ya baadhi ya watu kujivua koti la uraia na uzalendo. Jamani akili ya uhai itumike Kwa mkataba wa kizuzu kama ule kisa tu ukichaa wa dini na kuwaaabudi waarabu kweli tunakuwa vipofu kiasi hiki.
Penye kweli ibaki kweli hizi dini zimeletwa na hao mafara Kwa malengo yao. Tanganyika ni yetu sote tangu enzi, sasa na hapo baadae.
Kama midudu yenyewe iliyopuyanga kama vyura kwenye huu mkataba inaona aibu. Mungu wa kweli mwingi wa rehma ni mpenda haki.
Tuwe wakweli lile limkataba hata tumbili na ngedere wakipewa kuusoma watachambia mavi.
Hivi kweli Karne hii mtu anasign mkataba wa kimangungo kama sio kuoza akili ni nini. Atuambie labda amepewa uraia wa huko au ana vinasaba na watu wa huko labda kwenye familia yake kuna ndugu zao wameolewa huko.
Tuache kushabikia ujinga kwa makosa ya kindezi kama yale. Hao wapumbavu wakijivika kivili cha dini huo ni upumbavu wao wajibebe wenyewe Kwa mkataba wenye ukichaa wa hovyo.
Tanganyika ni yetu na haitatokea fala yeyote afanye anavyotaka never na ni never.
Movie inaendelea vita pia inaendelea.
Wabillah Tawfiq
Wadiz
Kwenye hili la mkataba wa bandari kuna dalili ya baadhi ya watu kujivua koti la uraia na uzalendo. Jamani akili ya uhai itumike Kwa mkataba wa kizuzu kama ule kisa tu ukichaa wa dini na kuwaaabudi waarabu kweli tunakuwa vipofu kiasi hiki.
Penye kweli ibaki kweli hizi dini zimeletwa na hao mafara Kwa malengo yao. Tanganyika ni yetu sote tangu enzi, sasa na hapo baadae.
Kama midudu yenyewe iliyopuyanga kama vyura kwenye huu mkataba inaona aibu. Mungu wa kweli mwingi wa rehma ni mpenda haki.
Tuwe wakweli lile limkataba hata tumbili na ngedere wakipewa kuusoma watachambia mavi.
Hivi kweli Karne hii mtu anasign mkataba wa kimangungo kama sio kuoza akili ni nini. Atuambie labda amepewa uraia wa huko au ana vinasaba na watu wa huko labda kwenye familia yake kuna ndugu zao wameolewa huko.
Tuache kushabikia ujinga kwa makosa ya kindezi kama yale. Hao wapumbavu wakijivika kivili cha dini huo ni upumbavu wao wajibebe wenyewe Kwa mkataba wenye ukichaa wa hovyo.
Tanganyika ni yetu na haitatokea fala yeyote afanye anavyotaka never na ni never.
Movie inaendelea vita pia inaendelea.
Wabillah Tawfiq
Wadiz