Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,079
- 165,847
Sasa kwa nini hizi zana zina ekisipaya mapema jamani? Ingekuwa safi sana kama zingekuwa zinaimarika na kuongezeka ubora kadiri umri unavyosonga
Matusi hayafanywi...labda sema umestaafu kuwajibika kwa sababu uzijuazo wewe mwenyewe. Kuwajibika anawajibika mlokole na padri sembuse wewe? Acha hizo, ile ndiyo raha ya dunia bwana. Kuna sababu Mungu alituumba na kutupa hizo zana za kuchapa kazi (jembe na shamba), mengine yote hayo ni kujinyima raha tu kwa kujiwekea kanuni potofu.
Msaada wangu kwako: Jiepushe na walokole pamoja na nyimbo za dini zisizokusaidia kitu utaona raha ya dunia kwani furaha ujipatie mwenyewe na hakuna mwenye mamlaka ya kukupa furaha wewe isipokuwa wewe mwenyewe.