ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
Mi bado mtoto...!!!
KUWORE CHA RUWA PHFO nimeipenda
Mi bado mtoto...!!!
na kweli leo wanaume mmepatikana,. kwa wapendwa style nyingine nasikiaga ni mwiko! only mende kafariki....lol
we speaker vip? mbona kutukanana jamani? kwan neno wapendwa linahusiana vip na udini? lol mambo mengine yanachekesha kweli haswa jins ambavyo watu mna-interprete meaning, sina element zozote za udini am very sorry, nalipinga sana hilo, labda umenielewa vibaya, pole
Hapo kwenye red ulikua una maanisha nini?
Wapendwa ni watu gani na wana uhusiano gani na topic tajwa hapa?
mke na mume
He he he he,asante na kwaheri.
Nina mechi nyingi sana za kuangalia leo.
si wewe hata mm naiwah Falcon nasikia cameroon na tstarz wameanza., poa wah bwana
yeah,wameanza,me nasubiri Mali n Nigeria,then Spain vs Uruguay,England vs Brazil,Italy vs Netherlands
Unamaanisha?
Habari zenu wana MMU!!!!
Leo nataka niongee na wanandoa, Yes wewe mume haswaa!
Hebu fanya tathmini ya ufanyaji wako wa tendo la ndoa na mkeo,
unaonaje, ni wa kukariri na kujirudia rudia au ni wa kubadilika kila siku??
Kaa ukielewa kuwa wanawake wanapenda mwanaume ambaye" Hatabiriki" .
Mzee mwenzangu usiwe umekariri jinsi ya kucheza mechi yako kiasi kwamba wife anajua kwamba, ukishakaa mkao huu kinachofuata ni hivi kisha vile then mchezo unaisha!!
Jaribu kuwa mbunifu na kubadilika badilika.
Mi nilishakatazwa kufanya matusi
Mkuu, umenichekesha sana, mi kuna favourite style yangu nimeshamzoesha waifu kiasi kwamba baada ya foreplays waifu anawahi tu mwenyew kukaa ule mkao, teh, teh, teh, inabidi nibadilike.
You say "(Hidden truth inside)".
na kweli leo wanaume mmepatikana,. kwa wapendwa style nyingine nasikiaga ni mwiko! only mende kafariki....lol